LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Hii hali sio maramoja imekuwa ikinitokea Mara kadha ya kusahau vitu sasa leo nikaenda mgahawani kula baada ya kumaliza kula nikarudi zangu ofisini na mguu.
Baada ya kufika ofisini ndo nagundua kwamba nimeisahau nilipokuwa nakula sasa ikabidi niirudie.
Kama wiki mbili hivi zimepita nilifika ofisini kwa mtu nikawakuta watu wazima wawili baada ya kuwasalimia mimi nikaitikia marahaba.
Wale wazee wakacheka sana na kuniambia ndo ukubwa ulivo.
Baada ya kufika ofisini ndo nagundua kwamba nimeisahau nilipokuwa nakula sasa ikabidi niirudie.
Kama wiki mbili hivi zimepita nilifika ofisini kwa mtu nikawakuta watu wazima wawili baada ya kuwasalimia mimi nikaitikia marahaba.
Wale wazee wakacheka sana na kuniambia ndo ukubwa ulivo.