Nimeenda sehemu na baiskeli nikaisahau nikarudi na mguu

Nimeenda sehemu na baiskeli nikaisahau nikarudi na mguu

Kuna jamaa mmoja nae akienda kariakoo akishapaki gar katika mitaa kadhaa,baadae anasahau kapaki wapi

Ila ishawahi kunitokea mara chache sana napiga simu halafu ikiwa sikioni nasahau nilikuwa nampigia nani

Ikawahi kutokea simu ikiita nashtuka balaa

Alhamdulillah hizo mambo ziliisha zote

Evelyn Salt nipo home now,,tusiulizane niko wapi
 
Kuna jamaa mmoja nae akienda kariakoo akishapaki gar katika mitaa kadhaa,baadae anasahau kapaki wapi

Ila ishawahi kunitokea mara chache sana napiga simu halafu ikiwa sikioni nasahau nilikuwa nampigia nani

Ikawahi kutokea simu ikiita nashtuka balaa

Alhamdulillah hizo mambo ziliisha zote

Evelyn Salt nipo home now,,tusiulizane niko wapi
Sawa upo home, ndio usipokee simu 😹
Pokea umpe mkeo nimtakie usiku mwema.
 
Hii hali sio maramoja imekuwa ikinitokea Mara kadha ya kusahau vitu sasa leo nikaenda mgahawani kula baada ya kumaliza kula nikarudi zangu ofisini na mguu.

Baada ya kufika ofisini ndo nagundua kwamba nimeisahau nilipokuwa nakula sasa ikabidi niirudie.

Kama wiki mbili hivi zimepita nilifika ofisini kwa mtu nikawakuta watu wazima wawili baada ya kuwasalimia mimi nikaitikia marahaba.

Wale wazee wakacheka sana na kuniambia ndo ukubwa ulivo.
Msongo wa mawazo mda mwingine
 
Ushawahi kutoka sebuleni unafuata kitu chumbani ukifika hukumbuki ulifuata nini? Au unasikia simu inaita ukiiangalia iko kimya? Unatoka nyumbani ukiwa njiani huna uhakika ulifunga mlango au hukufunga, ulizima feni au hukuzima?
Karibu uzeeni.
 
Aisee hizo ni stress kuna kipindi stress zilizidi nikasahau password ya simu nilikaa siku mbili nimeshindwa kufungua password ambayo naitumia kila siku
 
Hii hali sio maramoja imekuwa ikinitokea Mara kadha ya kusahau vitu sasa leo nikaenda mgahawani kula baada ya kumaliza kula nikarudi zangu ofisini na mguu.

Baada ya kufika ofisini ndo nagundua kwamba nimeisahau nilipokuwa nakula sasa ikabidi niirudie.

Kama wiki mbili hivi zimepita nilifika ofisini kwa mtu nikawakuta watu wazima wawili baada ya kuwasalimia mimi nikaitikia marahaba.

Wale wazee wakacheka sana na kuniambia ndo ukubwa ulivo.
Jana jioni Kuna jirani yangu nilimsalimia nikamwambia habari za jioni akaniambia salama za asubuhi mke wake akamwambia ni asubuhi saa hizi!? afu ni mstaafu!
 
Hii hali sio maramoja imekuwa ikinitokea Mara kadha ya kusahau vitu sasa leo nikaenda mgahawani kula baada ya kumaliza kula nikarudi zangu ofisini na mguu.

Baada ya kufika ofisini ndo nagundua kwamba nimeisahau nilipokuwa nakula sasa ikabidi niirudie.

Kama wiki mbili hivi zimepita nilifika ofisini kwa mtu nikawakuta watu wazima wawili baada ya kuwasalimia mimi nikaitikia marahaba.

Wale wazee wakacheka sana na kuniambia ndo ukubwa ulivo.
Nouma
 
Back
Top Bottom