Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Pole sana, usiwekeze sana akili kwenye kupambana nazo wekeza kufanya mambo mengine, the more uko bize nazo the more you attract them (law of attraction).Stress ni kweli zipo na napambana kumaliza vyanzo vya stress ila vinakuja vipya
Hana shida huyo ana yale yale yameenda akiliniHahaa 😂
Angalien namna ya kumsaidia... Awe mkweli tu lakinHana shida huyo ana yale yale yameenda akilini
Hapana kila mtu apambane na mambo yakeAngalien namna ya kumsaidia... Awe mkweli tu lakin
Sawa upo home, ndio usipokee simu 😹Kuna jamaa mmoja nae akienda kariakoo akishapaki gar katika mitaa kadhaa,baadae anasahau kapaki wapi
Ila ishawahi kunitokea mara chache sana napiga simu halafu ikiwa sikioni nasahau nilikuwa nampigia nani
Ikawahi kutokea simu ikiita nashtuka balaa
Alhamdulillah hizo mambo ziliisha zote
Evelyn Salt nipo home now,,tusiulizane niko wapi
🤣🤣..umeniweza nilisahau kukwambia ipo chajiSawa upo home, ndio usipokee simu 😹
Pokea umpe mkeo nimtakie usiku mwema.
Msongo wa mawazo mda mwingineHii hali sio maramoja imekuwa ikinitokea Mara kadha ya kusahau vitu sasa leo nikaenda mgahawani kula baada ya kumaliza kula nikarudi zangu ofisini na mguu.
Baada ya kufika ofisini ndo nagundua kwamba nimeisahau nilipokuwa nakula sasa ikabidi niirudie.
Kama wiki mbili hivi zimepita nilifika ofisini kwa mtu nikawakuta watu wazima wawili baada ya kuwasalimia mimi nikaitikia marahaba.
Wale wazee wakacheka sana na kuniambia ndo ukubwa ulivo.
Jana jioni Kuna jirani yangu nilimsalimia nikamwambia habari za jioni akaniambia salama za asubuhi mke wake akamwambia ni asubuhi saa hizi!? afu ni mstaafu!Hii hali sio maramoja imekuwa ikinitokea Mara kadha ya kusahau vitu sasa leo nikaenda mgahawani kula baada ya kumaliza kula nikarudi zangu ofisini na mguu.
Baada ya kufika ofisini ndo nagundua kwamba nimeisahau nilipokuwa nakula sasa ikabidi niirudie.
Kama wiki mbili hivi zimepita nilifika ofisini kwa mtu nikawakuta watu wazima wawili baada ya kuwasalimia mimi nikaitikia marahaba.
Wale wazee wakacheka sana na kuniambia ndo ukubwa ulivo.
NoumaHii hali sio maramoja imekuwa ikinitokea Mara kadha ya kusahau vitu sasa leo nikaenda mgahawani kula baada ya kumaliza kula nikarudi zangu ofisini na mguu.
Baada ya kufika ofisini ndo nagundua kwamba nimeisahau nilipokuwa nakula sasa ikabidi niirudie.
Kama wiki mbili hivi zimepita nilifika ofisini kwa mtu nikawakuta watu wazima wawili baada ya kuwasalimia mimi nikaitikia marahaba.
Wale wazee wakacheka sana na kuniambia ndo ukubwa ulivo.