nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Napenda kuleta mrejesho hapa jamii forum maana ni sehemu ambayo nilipata wazo la kuanzisha kikundi cha maendeleo.
Nilisoma uzi wa mkuu mmoja unaohusu vicoba. Nikavutiwa na namna vicoba vinavyoendeshwa hivyo nikaamua kuchukua idea na kuwapa baadhi ya watu wangu wa karibu.
Ninachofurahi ni kuwa walipokea wazo lile na kwa pamoja tukaamua kuanzisha kikundi ambacho mwanzo tulipanga tukiendeshe kwa mfumo wa vicoba lakini baadaye nikaamua kubadili maamuzi na kukifanya kuwa kikundi cha kudumu cha kusimamia miradi mbalimbali.
Kikundi kina wanachama 10. Ambao tumejiwekea kutoa mchango kwa mfumo wa hisa. Hisa yetu moja tunaiuza sh 10,000 ambapo kila mwanachama lazima anunue kila wiki. Pia kana atahitaji kununua hisa nyingi kwa wiki, zisizidi 3.
Pia tunakopeshana wenyewe kwa riba nafuu kabisa.
Tumepanga kufungua mradi wa kwanza mwezi wa sita mwaka huu.
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kuomba ushauri namna ya kuweza kusajiri kikundi ili kitambulike na tuingie kwenye mikopo nafuu inayotolewa na taasisi mbalimbali.
Ni hatua zipi inatupasa kuzifuata ili tuweze kusajiliwa bila vikwazo.
Ahsanteni sana
Nilisoma uzi wa mkuu mmoja unaohusu vicoba. Nikavutiwa na namna vicoba vinavyoendeshwa hivyo nikaamua kuchukua idea na kuwapa baadhi ya watu wangu wa karibu.
Ninachofurahi ni kuwa walipokea wazo lile na kwa pamoja tukaamua kuanzisha kikundi ambacho mwanzo tulipanga tukiendeshe kwa mfumo wa vicoba lakini baadaye nikaamua kubadili maamuzi na kukifanya kuwa kikundi cha kudumu cha kusimamia miradi mbalimbali.
Kikundi kina wanachama 10. Ambao tumejiwekea kutoa mchango kwa mfumo wa hisa. Hisa yetu moja tunaiuza sh 10,000 ambapo kila mwanachama lazima anunue kila wiki. Pia kana atahitaji kununua hisa nyingi kwa wiki, zisizidi 3.
Pia tunakopeshana wenyewe kwa riba nafuu kabisa.
Tumepanga kufungua mradi wa kwanza mwezi wa sita mwaka huu.
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kuomba ushauri namna ya kuweza kusajiri kikundi ili kitambulike na tuingie kwenye mikopo nafuu inayotolewa na taasisi mbalimbali.
Ni hatua zipi inatupasa kuzifuata ili tuweze kusajiliwa bila vikwazo.
Ahsanteni sana