Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,236
- 1,411
Kamanda nimefurahishwa kwa uamuzi wako. Naahidi kukupatia mchango japo wa kuchapisha hii makala yako ili wale wa vijijini- kuanzia Mrere hadi Rigicha kule mkoani Mara, wapate nakala. Naamini si wote wote wenye kupata huduma hii ya mawasiliano ya kisasa ya intaneti. Nanuia watambue dhamira yako njema ya kuwatumikia. Mungu akubariki sana.
Yericko Nyerere, Asante sana komredi wangu
Ben akigombea namfuata katika jimbo hilo nami nikagombee, najua madhaifu yake huyu mkaanga Sumu.
Yericko Nyerere, this is high time, kwa wewe pia kutangaza nia! Tumekusoma sana, uaminifu wako katika chama chako, tunakukubali, tunakuhitaji wewe pia uende bungeni ili uweze kutumika kwa upana zaidi!Safari yako ni safari yangu, Safari yangu ni safari yako, Safari yetu ni safari ya Watanzania.
Twende Bungeni na Ben Saanane!
Safari yako ni safari yangu, Safari yangu ni safari yako, Safari yetu ni safari ya Watanzania.
Twende Bungeni na Ben Saanane!
SO hujahakia ACT?
haya nenda mwenyewe, mie sina muda wa kukusindikiza!msomi kumbe buuuree kabisa, itabidi tuwaombe tcu wa verify degree hizo,maana akili kubwa haiwezi kusombwa na kuongozwa na ndogo hata kwenye upuuzi!kwa ushauri nenda act wazalendo achana na ndio mzee za kwa mbowe!
Maelezo mengi lakini hakuna la maana hata moja hapo. Imekushinda BAVICHA, jimbo utaliwezea wapi wewe?
Maelezo yako marefu sana kaka, sijaweza kuyasoma yote. Unaenda bungeni kupitia jimbo gani ?
Ukisoma kitabu cha JOSHUA 1:5 - 25 Mungu anasema, hapata kuwepo mtu yeyote atakaye simama mbele yako siku zote za maisha yako,kama nilivyo kuwa na Musa ndivyo nitakavyo kuwa pamoja nawe sinto kuacha wala sinto kupungukia,ila uwe hodari na moyo wa ushujaa,hilo tu! na mimi napanda maneno hayo kwako kamanda kwa nafasi unayoiomba,Mungu akutangulie na Mungu akufanikishie haja ya moyo wako!