Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....


wewe pia ulitoka kwenye hiki chama cha vichaa,ulitibiwa wapi ukapona mkuu
 
Huyu jamaa anauwezo mkubwa kujenga hoja. Tumuunge mkono.
 
mbona zitto aliposema kama haya aliyosema ben aliitwa msaliti?
Zitto alipotangaza nia ya urasi akaitwa msaliti ila kwa ben kwa sababu ni mchaga mwenzenu anaitwa kamanda na amefanya maamuzi sahihi!
 
wewe pia ulitoka kwenye hiki chama cha vichaa,ulitibiwa wapi ukapona mkuu

Teh teh teh

Mkuu mimi sijawahi hata siku moja kuwa mshabiki wa hiki chama cha hawa Vichaa wakabila na wadini hata siku moja.

Si unaona wao ubunge wanatangaza nia zao Jamii Forum.

Teh teh teh

Kama sio uwendawazimu tuite nin

Tokea lin nia ya kugombea ubungeni ukaitangaza Jamii forum.

Teh teh teh

Hawa bado kuokota makopo tuh
 
mbona zitto aliposema kama haya aliyosema ben aliitwa msaliti?
Zitto alipotangaza nia ya urasi akaitwa msaliti ila kwa ben kwa sababu ni mchaga mwenzenu anaitwa kamanda na amefanya maamuzi sahihi!

Wachaga wna akili sna.

Lakn hawa wachaga wa chadema ni wendawazimu.

Sijapata kuona.
 
Ben Saanane, nakutakia mafanikio mema you are a great asset but I question myself if you have to be in that parliament now #whoAMI ?

"Be sure you put your feet in the right place, then stand firm."
Abraham Lincoln
 
Last edited by a moderator:

Pesa za fasta fasta kivipi Mkuu??

Kamaliza his First Degree 2005, Masters 2008. He is on his 30's now kama ni hiyo hoja yako ya pesa huoni ni wakati sahihi wa yeye kupata pesa?? Au unataka azitafute akifika umri wa kina Le Mutuz??

Lakini kwa tunaomtambua Ben tunajua nini ataenda kukifanya Bungeni.. Twende na Ben !
 
Sielewi ni kwanini tunadhani mtu kuwa bungeni ndiyo nafasi ya muhimu sana ili kulisaidia Taifa lisonge mbele! Mie hii haijawahi kuacha kunishangaza. Hivi wajenzi mahiri wa nchi ni wanasiasa tu?

Swali zuri sana hili... Ila nadhani lianze kujibiwa na CCM kwanza. Kwanini Ridhiwani Kikwete ni Mbunge?? Kwanini January Makamba ni Mbunge?? Kwanini Mnauye ana kile cheo pale Lumumba?? Kwanini wanasiasa wengi wakongwe wa CCM wanarithisha watoto wao vyeo vya kisiasa??

Lakini, ni kwanini kwa kijana wa CDM/UKAWA akitangaza nia inakuwa nongwa?? Eti anaenda kuchumia tumbo kwenye siasa?? Ina maana hao wa CCM wao wanafuata nini?? Au hii nchi mnataka muiongoze wenyewe??
 
Kamanda Ben, nakushukuru sana kwa kujionyesha waziwazi, tupo pamoja kiongozi tumeteseka sana makamanda wenzio kwa uzushi ulioenea juu yako na ACT
 
Hongera sana comrade Ben Saanane kwa uamuzi sahihi Kwa muda mwafaka ninakufahamu long time and am certain u can.
Kupitia uzi wako huu niwaombe wanachadema pamoja na mashabiki wake punguzeni jazba, kejeli, umbea na maneno ya mtaani. % kubwa ya wanachadema ni vijana sasa kijana ukiwa na tabia za kinafiki za kuropoka vitu usivyokuwa na uhakika navyo ni dalili ya kuwa mchawi uzeeni. Angalizo hili nalitoa kutokana na tangazo lako kupitia ule uzi mwingine kama umepitia pole ndo changamoto za siasa uchwara. Ukisoma ule uzi unapata picha kwamba kuna uwezekano hata Zitto anasingiziwa tu.

Otherwise all the best
 
Last edited by a moderator:
Wakati wa vijana umefika xio vijana taifa kesho wakati wa kumng'oa mkoloni mweusi umefika !
 
Safi Sana..Lumumba wake jadili elimu yake km walivyokuwa akiongea upuuzi kuhusu bavicha.Ndio maana ayatoullah alikuwa akipite hivi kila akiiona hii sura.
 
Kila la kheri mkuu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…