Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....


Hongera sana, thats the spirit, keep it up, usirudi nyuma. Tunahitaji viajana kama wewe kuwakwamua wa Tanzania toka kwenye dimbwi umasikini ulio kithiri, uliosababishwa na viongozi mafisadi na serekali dhaifu
 

kwanza unajaza server kwa kunukuu mhabari wote. Pili ulitaka achimbe barabara na wananchi?
 
Teh teh teh

So anawaongopea ana phd??

Teh teh teh

Yale yaleee kama yule mwehu yericko eti anasema ni CEO wa kampuni

Teh teh teh

Kumbe ni mchumia tumbo tuh na mpiga ripu.

Teh teh teh

Wachaga wa chadema kweli wamevurugwa.

ukiambiwa uvae bomu ukajilipue kwenye mkutano wa cdm utafanya hivyo? Fanatic!
 
Kabla hujagombea ubunge,umewafanyia nini wananchi cha kuwashawishi wakuchague?
 

Bwana mdogo, bezikale nikupongeze kwa kuungana na maamuzi ya mate yako.
Ben yuko humu muda mrefu na alikuja mwenyewe akakili kuwa alikuwa anaisaliti CHADEMA akiwa chini ya kiongozi wao zitto, alivoona usalti ule ungempeleka kubaya akaenda kuomba msamaha na apewa na uongozi halali wa chama.

Lakini kikubwa, niungane na wewe kumpongeza kwa dhamira ya hiyo kuwatumikia wananchi.

Kuhusu zitto, ufahamu tu kuwa hajaonewa, alichokifanya ni usalti usiovumilika, binafsi nilianza kupata wasiwasi tangu alipoacha kuonekana majukwaani katika operations kadhaa.

Kule CCM kuna vijana wazuri tu japo wanapelekeswa na mfumo uliopo, yupo Mpina, Deo etc. Tunaposema ccm haifai ni kwakuwa viongozi wake wapo too corrupt and selfish, ccm ingekuwa inatimiza wajibu wake ipasavyo kwa nchi nani angipinga?

Go Ben go.
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana kamanda
Twendeni na ben saanane
 
ukinyimwa hiyo fursa ndani ya chama utaendelea kukijenga chama kiroho safi na kutumikia wananchi kupitia fursa nyingine??
 
 
nakukubali na niko tayari kuchangia hela taslimu ili kuwezesha mchakato wako , sina mashaka na wewe .
 
Kila la kheri kamanda, wasaliti walisema unahamia kwenye lichama lao la m@shoga
 
Yericko Nyerere naye anataka akagombee ubunge? naamini chadema kuna wazee wenye busara hawataruhusu jambo hilo. huyu bwana ambaye siku zote ana desa materials ya watu anafanya plagiarism anakuja kubandika hapa akijifanya ya kwake na kuandika hbr za uzushi uzushi kila wakati kuchangamsha JF anataka akawe mbunge? huu ndo mwanzo wa yeye kuhama cdm maana wakimtaka tu jina lake anahamia ACT au CCM na mtakuja kunambia hapa. ila ki ukweli mwaka huu wananchi msichague wabunge aina ya ya ashumpta,kibajaji,sugu,yule aliyekuwa mtangazaji,yule wa morogoro et al. hawa ndio kikwazo cha maendeleo ya taifa hili. yericko wachen awe anakuja hapa jf anapiga porojo zake siku zinaenda. muda si mrefu utasikia na said mohamed anataka kugombea urais au ubunge wakati hawa ni waburudishaji wa JF.... hata yule KJ malecela naye atataka ubunge.
 
Last edited by a moderator:

Naona ukisikia tu jina la zitto unachanganyikiwa tulia siasa siyo ugomvi, umemtuhumu kuwa msaliti kwa maneno ya mtaani lakini anaendelea na harakati zake tena kwa spidi kali. Kwa taarifa yako hoja yangu kubwa haikuwa zitto ila lugha za kejeli toka kwa wanachadema zisizokuwa na vyanzo vya uhakika, watu hawatafuti ukweli ila wanafuata upepo na uzi niliokuwa nauzungumzia ni huu https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=832543 . Fanya ulinganishi wa michango ya wadau kwenye huo uzi na huu unaoendelea. Kama Ben alikosea 2012 akasamehewa je hizi lugha kumwita tena msaliti 2015 zinatoka wapi?

Picha mnayotoa ni kwamba kuna uchafu mwingi ndani ya chadema ila hausemwi hadi mtu atangaze kuhama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…