Nimefanya mapenzi na mwanamke aliye kwenye siku zake. Kuna madhara gani kiafya?

Nimefanya mapenzi na mwanamke aliye kwenye siku zake. Kuna madhara gani kiafya?

Kinyonga01

Member
Joined
May 22, 2023
Posts
85
Reaction score
295
Kaka vipi hali pole na majukumu.

Samahani kuna hii issue inanitesa sana ni wiki ya pili sasa na sijuwi nifanyaje.

Iko hivi kuna binti niko naye kwenye mahusiano mwezi wa 7 sasa japo kila mtu anaishi kwake lakini mara kwa mara tunatembeleana yeye huja kwangu na mimi huenda kwake na kiufupi ni kama nimeoa!

Kilichonileta hapa ni kwamba kuna siku alikuja kwangu lakini akanambia haoni siku zake kwani zile tarehe zilikuwa ndio za kuingia mwezini. Usiku wa siku ile tulilala pamoja na tukafanya,sasa kesho yake asubuhi tukaamkia tena lakini cha kushangaza wakati wa tendo nikiwa sielewi hili wala lile nikahisi mwenzangu kaloana sana nakuja kuangalia lahaulaa. Niliona dimbwi la damu nyingi kiashiria kwamba ameshaanza siku zake ikabidi tu stop. Mbaya zaidi hatukutumia kinga na yeye mwenyewe akajitetea hakuwa akijua kama ana-bleed wakati wa tendo.

Sasa ni wiki ya 2 sasa tangu tumekutana sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke akiwa kwenye siku zake huko nyuma ndio maana nimekuja kuomba msaada kama kuna madhara yeyote kwa mwanaume kiafya hata kiimani tuu maana naona mabadiliko mwilini mwangu ikiwemo kuota vipele usoni na mdomoni naomba niulizie kwa wadau wako nitasoma comments

Asante. Msaada wenu wana Jamvi kijana wenu kayakanyaga huko.
 
Kama haukuzama chumvini fresh. Contents zake sio za hatari kwa afya.

According to WP: "A woman's period, or menstruation, contains blood, mucus, and cells from the lining of the uterus. The blood is partly made up of sodium, calcium, phosphate, iron, and chloride, but the amount of each varies from person to person. The fluid also includes cervical mucus, vaginal secretions, and endometrial tissue."
 
Kama haukuzama chumvini fresh. Contents zake sio za hatari kwa afya.

According to WP: "A woman's period, or menstruation, contains blood, mucus, and cells from the lining of the uterus. The blood is partly made up of sodium, calcium, phosphate, iron, and chloride, but the amount of each varies from person to person. The fluid also includes cervical mucus, vaginal secretions, and endometrial tissue."
Cha cha chaaaaa matakataka yote hayo dooh
 
Ila kusema ukweli kwa utamu ni tamu 😂 tatizo ni hzo UTI
😊😊 UTI ni rahisi kuimudu, madafu kwa wingi mkuu. Nina manzi yangu mmoja ndio ilinifundisha hii kitu kuwapeleka moto wakiwa siku zao.. ni tamu hatari , ujue mwanamke anaekupa akiwa siku zake unakuta nae ana minyage so panachimbika hatari hapo.. sema hii ni for your own risk
 
Kaka vipi hali pole na majukumu.

Samahani kuna hii issue inanitesa sana ni wiki ya pili sasa na sijuwi nifanyaje.

Iko hivi kuna binti niko naye kwenye mahusiano mwezi wa 7 sasa japo kila mtu anaishi kwake lakini mara kwa mara tunatembeleana yeye huja kwangu na mimi huenda kwake na kiufupi ni kama nimeoa!

Kilichonileta hapa ni kwamba kuna siku alikuja kwangu lakini akanambia haoni siku zake kwani zile tarehe zilikuwa ndio za kuingia mwezini. Usiku wa siku ile tulilala pamoja na tukafanya,sasa kesho yake asubuhi tukaamkia tena lakini cha kushangaza wakati wa tendo nikiwa sielewi hili wala lile nikahisi mwenzangu kaloana sana nakuja kuangalia lahaulaa. Niliona dimbwi la damu nyingi kiashiria kwamba ameshaanza siku zake ikabidi tu stop. Mbaya zaidi hatukutumia kinga na yeye mwenyewe akajitetea hakuwa akijua kama ana-bleed wakati wa tendo.

Sasa ni wiki ya 2 sasa tangu tumekutana sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke akiwa kwenye siku zake huko nyuma ndio maana nimekuja kuomba msaada kama kuna madhara yeyote kwa mwanaume kiafya hata kiimani tuu maana naona mabadiliko mwilini mwangu ikiwemo kuota vipele usoni na mdomoni naomba niulizie kwa wadau wako nitasoma comments

Asante. Msaada wenu wana Jamvi kijana wenu kayakanyaga huko.
Tayari wewe.. hapo jiandae kwenda kutibiwa India tu
 
MADHARA KWA MWANAMKE.
1. Kupatwa na mambukizi viungo vya ndani vya uzazi kama vile shingo ya kizazi,mirija ya uzazi kwa ujumla wake anaweza kuwa na tatizo la PID ( PELVIC INFLAMATORY DISEASES) tatizo ambalo linaweza kuathiri mfumo wake wa uzazi.

2. Maumivu makali ya tumbo hasa kwa wale wanaopatwa na maumivu wakati wa hedhi.(Dysmenorrhea).

3. Utokaji wa damu unaweza ukaongeza kuliko vile inavyotoka kwa kawaida yake.

4. Utasa au Ugumba.

5. Kuvimba kwa kuta za ndani za uke kwa kuwa wakati wa hedhi zenyewe huwa tayari zimevimba au kutanunuka hali pia itamsababishia maumivu kwenye uke wakati wa tendo la ndoa.
 
Kaka vipi hali pole na majukumu.

Samahani kuna hii issue inanitesa sana ni wiki ya pili sasa na sijuwi nifanyaje.

Iko hivi kuna binti niko naye kwenye mahusiano mwezi wa 7 sasa japo kila mtu anaishi kwake lakini mara kwa mara tunatembeleana yeye huja kwangu na mimi huenda kwake na kiufupi ni kama nimeoa!

Kilichonileta hapa ni kwamba kuna siku alikuja kwangu lakini akanambia haoni siku zake kwani zile tarehe zilikuwa ndio za kuingia mwezini. Usiku wa siku ile tulilala pamoja na tukafanya,sasa kesho yake asubuhi tukaamkia tena lakini cha kushangaza wakati wa tendo nikiwa sielewi hili wala lile nikahisi mwenzangu kaloana sana nakuja kuangalia lahaulaa. Niliona dimbwi la damu nyingi kiashiria kwamba ameshaanza siku zake ikabidi tu stop. Mbaya zaidi hatukutumia kinga na yeye mwenyewe akajitetea hakuwa akijua kama ana-bleed wakati wa tendo.

Sasa ni wiki ya 2 sasa tangu tumekutana sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke akiwa kwenye siku zake huko nyuma ndio maana nimekuja kuomba msaada kama kuna madhara yeyote kwa mwanaume kiafya hata kiimani tuu maana naona mabadiliko mwilini mwangu ikiwemo kuota vipele usoni na mdomoni naomba niulizie kwa wadau wako nitasoma comments

Asante. Msaada wenu wana Jamvi kijana wenu kayakanyaga huko.
Iyo ni surua tua na tetekuanga wala usiogope piga shoo
 
Back
Top Bottom