Nimefanya mapenzi na mwanamke aliye kwenye siku zake. Kuna madhara gani kiafya?

wewe mwenyewe unajisikiaje
 
Mkuu tulia tu hakuna shida labda UTI sugu. Hii imewahi kunitokea
Nakumbuka nilipiga push up za uhakika ile chuma inatoka, demu akairudisha chap namm nikaona isiwe kesi nikaendelea kupeleka fire, sec time chuma inatoka lakini imeloa kiasi kwamba inataka kuvuka, ile naicheki naona damu, ile nataka kushika demu akaniambia Achaaaaa!

Niliduwaa Kwa muda Wala sikuelewa kilichoendelea, mpaka nilipokuja kushtuliwa na demu, ndo akili inakuja, ikabidi nimuulize.

Ndo hvyo bana, Ila Kuna pisi ni careless sana unakuta anajali muonekano wa nje tu lakini ndani🤷
 
Mada zingine ni ududu mtupu humu
 
Kuna madhara gani kiafya?

Lazima uote Busha...
 
kama kuna madhara yeyote kwa mwanaume kiafya
Jiandae kuota Busha hivyo yaan hakuna maelezo mengi na asikwambie mtu Busha linasababishwa na mbu huyo anazungumzia matende sio Busha
 
Si bado hayupo kwenye ndoa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…