Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katuharibia, kuna crush wangu humu sijui nikimuendea pm atajibu kweli...hahaTena tunakimbia bila kugeuka nyuma 🏃♀️ 🏃♀️
OP ni mgeni wa papuchi ndio maana anakiss na kutell 😉
Mfundeni mwenzenu
Afanye hata kum Cc. Unaweza kuta ni cocastic maake mpaka sasa sijaona reply yake! Au ni Depal ? Au basi Smart911 asije kuua mtu!Tukusaidie nini mkuu. Ndomaana mademu wa humu wanapotongozwa na watu wa humu huwa hawakubali wanaogopa mambo kama haya ya kutangaza. Aya tuwekee picha yake tumuone
Ushaliwa kweli!?Babe simu yangu ya whatsapp imeharibika
Nimeona uzi,emoji ya kopa nakutumia hapa ❤
Hivi mafunzo ya JANDO yaliishia wapi ? Na nani aliyapiga marufuku? Ndio maana vijana siku hizi mmekuwa siyo rizikiKwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.
Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
🤣
Na kwenye sensa keshokutwa nao watahesabiwa 😄Hawa ndo vijana tunaosubiri watupatie mawazo yao kwenye katiba mpya ya jamhuri
Watu wanaopata mademu kwa manati utawajua tu. Wao kwao kula mbususu ni tukio adimu kiasi kwamba lazima alianzishie uzi 😄😄Hivi nyie machalii mnaotangazaga kuwa mmegonga dem flan huwa mnakuwa na akili gani? Kwangu naona ni kama utoto hivi, ukila kaa kimya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Babe simu yangu ya whatsapp imeharibika
Nimeona uzi,emoji ya kopa nakutumia hapa [emoji173]