Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
🤣tuna mdomo hutu balaa......mpaka 🙄Kajunia😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣tuna mdomo hutu balaa......mpaka 🙄Kajunia😂
😂😂Griti thinka kwenye uborawakoSasa kwani magreat thinkers tukilana na watu wakijua shida iko wapi?
Mbona tukiwa tunawakokota kuwapeleka guest house huko hamuonagi aibu kuwa mwaenda kugegedwa...tena mnaingiaga kwa kutingisha kabisa misambwanda.
😂😂Kawadhalilisha sana wanaume wenzie🤣tuna mdomo hutu balaa......mpaka 🙄
🤣🤣🤣🤣🤣Sasa kwani magreat thinkers tukilana na watu wakijua shida iko wapi?
Mbona tukiwa tunawakokota kuwapeleka guest house huko hamuonagi aibu kuwa mwaenda kugegedwa...tena mnaingiaga kwa kutingisha kabisa misambwanda.
Ukimwita mwanaume huyo umetukana wanaume wote🤦 kavulana ako afu kakikojoz😂😂Kawadhalilisha sana wanaume wenzie
Kwakweli mvulana tuUkimwita mwanaume huyo umetukana wanaume wote🤦 kavulana ako afu kakikojoz
Mmmh mambo yako na mtu wako kwa faida yenu unayaleta huku. Bro hekima ni kitu cha bure. Na acha udhalilishaji mkuu. Faragha mlikutana wawili iwe siri yenu.Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.
Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
Demu mwenyewe anasema eti unakibamia!Tukusaidie nini mkuu. Ndomaana mademu wa humu wanapotongozwa na watu wa humu huwa hawakubali wanaogopa mambo kama haya ya kutangaza. Aya tuwekee picha yake tumuone
Afu kamekimbiaBaada ya huu uzi mto maada atajuta (kinyume na ID yake inayosema hajuti)
KabisaThat's why tunasema Wanamume tumebaki wachache sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu mliokuwa mnarusha doano huko pm samaki wamekimbia woteee[emoji16][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji125]