Nimefanya review mtandaoni nimejiridhisha Simba SC ni mali ya MO Dewji anaimiliki kisheria

Nimefanya review mtandaoni nimejiridhisha Simba SC ni mali ya MO Dewji anaimiliki kisheria

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Nimepitia mchakato mzima ni jinsi gani Mo allimilikishwa hisa zake 49%,
Nimebaini Mo alilipia hisa zake zote,

Katika asilimia 51% zinazomilikiwa na wanachama ni asilimia 10% tu ndizo zilizolipiwa zinazobaki 41% hazijalipiwa.

Kampuni ya Mo Simba yenye 49% ndiyo inayoilea na kuirisha simba kwa asilimia 90%

Mo namfananisha na Abrohmovic enzi zile anajimilikisha visima vya mafuta na viwanda vya shaba kule urusi, wengi walikuwa usingizini.

Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa Mangungu ni kama geresha tu mwenye timu ni Mo, hizi kelele za mtandaoni hazina effect yoyote

Ili kummaliza nguvu Mo katika hao wanachama na Mashabiki inatakiwa mmoja wapo akalipie hizo hisa zote ambazo hamjazilipia.

Mnatakiwa mjue kuwa Simba haiendeshwi tena na wanachama na mashabiki kama zamani bali inaendeshwa kama kampuni, huo mkutano wenu mliotaka kuufanya jana ni kama kikao cha kijiwe cha kahawa hauna nguvu yoyote

Mo atatoka simba akiuza hisa zake na si vinginevyo, hamna namna ya kumtoa au kubadili muwekezaji labda aamue yeye maana ili mtu awekeze lazima awe mwanachama na atamiliki asilmia 41 tu ktk zile ambazo hamjazilipia yaani hatakua na nguvu faida itakayopatikana Mo atavuta mkwanja mwingi zaidi kuliko mtu yeyote

Mashabiki hamtakiwi kuhangaika na Mangungu hangaikeni na Mo mkampigie magoti afanye usajili na kuweka mzigo wa maana. Hamna cha kumfanya kitu mnachoweza kumfanya labda kususia bidhaa zake na kuingia uwanjani na si vinginevyo.

Hata mkiweka mwenyekiti mpya upande wa wanachama hakuna kitu kitakachobadirika mpaka Mo yeye mwenyewe aamue, ndio maana unaona anateua mtu yeyote na kuamua muda wowote he is the boss, upande wa wanachama ni kama washauri tu hawana mamlaka yeyote
 
Mungu tuepushie hii aibu Yanga.
Tukimuuzia hisa GSM yanga inakua mali yake, kwasababu hisa sio mkataba ni umiliki ili aiachie labda auze share zake

Kitu tunaweza fanya ni kumpa mkataba wa miaka kadhaa kama muwekezaji na sio kumuuzia hisa kama alivyo uziwa Mo,

Huoni mpaka kampuni yake kaiita Mo simba
 
Sasa shida au mgogoro wa simba hasa ni nini?

Au hamna mgogoro wowote ni hisia za mashabiki zinayumbayumba tu.

Au viongozi wao wana agenda wanapitisha kimyakimya basi wanawayumbisha mashabiki?
 
Sasa shida au mgogoro wa simba hasa ni nini??
Au hamna mgogoro wowote ni hisia za mashabiki zinayumbayumba tu.

Au viongozi wao wana agenda wanapitisha kimyakimya basi wanawayumbisha mashabiki?
Bado wapo zama za ujamaa wanadhani Simba ni timu ya wananchi,

Simba ni kampuni, yaani hawajui chochote wanaparuana kama mbumbumbu

Mwenye timu kishafukuza wajumbe wote wa bodi kaamua yeye mwenyewe asimamie show

Anachojali ni kutunza mashabiki tu basi
 
We fala sana eti umefanya review mtandaoni umeona MO kalipia 49% ? Kalipia wapi ?? Haya lete ushahidi wa hayo malipo popoma wee.
Simba sio chama cha siasa au taasisi ya serikali, simba ni kampuni, hautakaa uone hata siku moja wanakuwekea mapato na matumizi psmoja na malipo ya hisa zao labda mpaka na wewe ukanunue hizo hisa

Wengi akili zenu bado zipo zama za ujamaa
 
Nimepitia mchakato mzima ni jinsi gani Mo allimilikishwa hisa zake 49%,
Nimebaini Mo alilipia hisa zake zote,

Katika asilimia 51% zinazomilikiwa na wanachama ni asilimia 10% tu ndizo zilizolipiwa zinazobaki 41% hazijalipiwa.

Kampuni ya Mo Simba yenye 49% ndiyo inayoilea na kuirisha simba kwa asilimia 90%

Mo namfananisha na Abrohmovic enzi zile anajimilikisha visima vya mafuta na viwanda vya shaba kule urusi, wengi walikuwa usingizini.

Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa Mangungu ni kama geresha tu mwenye timu ni Mo, hizi kelele za mtandaoni hazina effect yoyote

Ili kummaliza nguvu Mo katika hao wanachama na Mashabiki inatakiwa mmoja wapo akalipie hizo hisa zote ambazo hamjazilipia.

Mnatakiwa mjue kuwa Simba haiendeshwi tena na wanachama na mashabiki kama zamani bali inaendeshwa kama kampuni, huo mkutano wenu mliotaka kuufanya jana ni kama kikao cha kijiwe cha kahawa hauna nguvu yoyote

Mo atatoka simba akiuza hisa zake na si vinginevyo, hamna namna ya kumtoa au kubadili muwekezaji labda aamue yeye maana ili mtu awekeze lazima awe mwanachama na atamiliki asilmia 41 tu ktk zile ambazo hamjazilipia yaani hatakua na nguvu faida itakayopatikana Mo atavuta mkwanja mwingi zaidi kuliko mtu yeyote

Mashabiki hamtakiwi kuhangaika na Mangungu hangaikeni na Mo mkampigie magoti afanye usajili na kuweka mzigo wa maana. Hamna cha kumfanya kitu mnachoweza kumfanya labda kususia bidhaa zake na kuingia uwanjani na si vinginevyo.

Hata mkiweka mwenyekiti mpya upande wa wanachama hakuna kitu kitakachobadirika mpaka Mo yeye mwenyewe aamue, ndio maana unaona anateua mtu yeyote na kuamua muda wowote he is the boss, upande wa wanachama ni kama washauri tu hawana mamlaka yeyote
Kama ni kweli basi pole yao.
 
Bado wapo zama za ujamaa wanadhani Simba ni timu ya wananchi,

Simba ni kampuni, yaani hawajui chochote wanaparuana kama mbumbumbu

Mwenye timu kishafukuza wajumbe wote wa bodi kaamua yeye mwenyewe asimamie show

Anachojali ni kutunza mashabiki tu basi
Hao wanasimba wanachotaka ni nini? Na kwanini wanamlaumu Mangungu kua anahujumu timu, ni kwasababu zipi??
 
Nimepitia mchakato mzima ni jinsi gani Mo allimilikishwa hisa zake 49%,
Nimebaini Mo alilipia hisa zake zote,

Katika asilimia 51% zinazomilikiwa na wanachama ni asilimia 10% tu ndizo zilizolipiwa zinazobaki 41% hazijalipiwa.

Kampuni ya Mo Simba yenye 49% ndiyo inayoilea na kuirisha simba kwa asilimia 90%

Mo namfananisha na Abrohmovic enzi zile anajimilikisha visima vya mafuta na viwanda vya shaba kule urusi, wengi walikuwa usingizini.

Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa Mangungu ni kama geresha tu mwenye timu ni Mo, hizi kelele za mtandaoni hazina effect yoyote

Ili kummaliza nguvu Mo katika hao wanachama na Mashabiki inatakiwa mmoja wapo akalipie hizo hisa zote ambazo hamjazilipia.

Mnatakiwa mjue kuwa Simba haiendeshwi tena na wanachama na mashabiki kama zamani bali inaendeshwa kama kampuni, huo mkutano wenu mliotaka kuufanya jana ni kama kikao cha kijiwe cha kahawa hauna nguvu yoyote

Mo atatoka simba akiuza hisa zake na si vinginevyo, hamna namna ya kumtoa au kubadili muwekezaji labda aamue yeye maana ili mtu awekeze lazima awe mwanachama na atamiliki asilmia 41 tu ktk zile ambazo hamjazilipia yaani hatakua na nguvu faida itakayopatikana Mo atavuta mkwanja mwingi zaidi kuliko mtu yeyote

Mashabiki hamtakiwi kuhangaika na Mangungu hangaikeni na Mo mkampigie magoti afanye usajili na kuweka mzigo wa maana. Hamna cha kumfanya kitu mnachoweza kumfanya labda kususia bidhaa zake na kuingia uwanjani na si vinginevyo.

Hata mkiweka mwenyekiti mpya upande wa wanachama hakuna kitu kitakachobadirika mpaka Mo yeye mwenyewe aamue, ndio maana unaona anateua mtu yeyote na kuamua muda wowote he is the boss, upande wa wanachama ni kama washauri tu hawana mamlaka yeyote
Mchakato wa mabadiliko bado haujakamilika mamlaka za usajiri zilirudisha katiba kwa sababu kuna vipengere ambavyo vilitakiwa kuwekwa sawa kitu ambacho mpaka sasa bado hakijafanyika kwaiyo simba bado inatumia katiba ya zamani ambayo inatambua wanachama ndio wamikiki wa timu kwa 100%. Pesa alizotoa Moo zinabaki kuwa kama msaada tu.
 
Mchakato wa mabadiliko bado haujakamilika mamlaka za usajiri zilirudisha katiba kwa sababu kuna vipengere ambavyo vilitakiwa kuwekwa sawa kitu ambacho mpaka sasa bado hakijafanyika kwaiyo simba bado inatumia katiba ya zamani ambayo inatambua wanachama ndio wamikiki wa timu kwa 100%. Pesa alizotoa Moo zinabaki kuwa kama msaada tu.
Simba ni kqmpuni au ni timu?

Jibu swali
 
Back
Top Bottom