OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
- #21
Imeundwa na kampuni tanzu ngapi? Na imesajiliwa wapi? Na hisa zake zinathamani ya sh ngapi?Kwa sasa simba ni kampuni ambayo inajulikana kama simba sport club company ltd. ambayo inamilikiwa na wanachama kwa 100%
Ukijibu hili swali la mwisho ndio utajua kuwa simba sio mali ya wanachama
Biashara ilishaisha mkuu