Nimefanya uchunguzi kuanzia Kituo cha Mabasi Pugu mpaka Segerea nimegundua pete za ndoa vidoleni ni chache sana

Nimefanya uchunguzi kuanzia Kituo cha Mabasi Pugu mpaka Segerea nimegundua pete za ndoa vidoleni ni chache sana

Rorscharch

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
878
Reaction score
2,014
Nilikosa cha kufanya na bundle ilikuwa imekatika kwa simu, nikapata idea ya kuhesabu pete za ndoa vituoni na kusema kweli inaonesha wanaume wengi sana wana pete vituoni kuliko wanawake, katika kudadisi dadisi katika halmashauri ya ubongo wangu nikaja na majibu yafuatayo;

1. Wingi wa wanaume kuwa na pete kuliko wanawake yaonesha labda wake zao ni kina Mama wa nyumbani hivyo "husband material" zinaenda ofisini wakati wife zipo nyumbani kwa majukumu madogo madogo

2. Hawa wanawake wasio na pete kuna mawili, aidha hawajabahatika kuolewa (siku hizi wanaume hawafanyi mchezo kabisa, huolewi eti kisa tu una papuchi) au hawajabahatika kuolewa na sio wadangaji (wanajipambania); maana wangekuwa wadangaji wasingekuwa wanagombania mabasi na wanaume

3. Nimechunguza hii hali ya petelesness na nikaihusisha na umri wa sura nazioziona aisee hali ni mbaya sana kwa wasimbe (30 na kuendelea kwa muktadha wa uzi huu), unazeeka hujaolewa huko mbele utakuja kumtegemea nani?
 
Tafiti za namna hii zina mchango mdogo sana kwa Taifa.

Anyway inawezakuwa wanaume hao umewaona wengi kwa idadi ndio wale ambao wake zao wanakaa home tu na hii kufanya uone wao ni wengi zaidi ya wanawake.

Binafsi naamini uchawi upo na wewe hapo ulipo umerogwa ndio maana unajihusisha sana na kufuatilia vidole vyenye pete😃

Ukimaliza utafiti huu sijui utakuja na upi
 
Nilikosa cha kufanya na bundle ilikuwa imekatika kwa simu, nikapata idea ya kuhesabu pete za ndoa vituoni na kusema kweli inaonesha wanaume wengi sana wana pete vituoni kuliko wanawake, katika kudadisi dadisi katika halmashauri ya ubongo wangu nikaja na majibu yafuatayo;

1. Wingi wa wanaume kuwa na pete kuliko wanawake yaonesha labda wake zao ni kina Mama wa nyumbani hivyo "husband material" zinaenda ofisini wakati wife zipo nyumbani kwa majukumu madogo madogo

2. Hawa wanawake wasio na pete kuna mawili, aidha hawajabahatika kuolewa (siku hizi wanaume hawafanyi mchezo kabisa, huolewi eti kisa tu una papuchi) au hawajabahatika kuolewa na sio wadangaji (wanajipambania); maana wangekuwa wadangaji wasingekuwa wanagombania mabasi na wanaume

3. Nimechunguza hii hali ya petelesness na nikaihusisha na umri wa sura nazioziona aisee hali ni mbaya sana kwa wasimbe (30 na kuendelea kwa muktadha wa uzi huu), unazeeka hujaolewa huko mbele utakuja kumtegemea nani?
Kimsingi Afrika tulitakiwa kuwa na mke zaidi ya mmoja.....sasa huu uduwanzi tulioletewa matokea yake ndio hayooo
 
Nilikosa cha kufanya na bundle ilikuwa imekatika kwa simu, nikapata idea ya kuhesabu pete za ndoa vituoni na kusema kweli inaonesha wanaume wengi sana wana pete vituoni kuliko wanawake, katika kudadisi dadisi katika halmashauri ya ubongo wangu nikaja na majibu yafuatayo;

1. Wingi wa wanaume kuwa na pete kuliko wanawake yaonesha labda wake zao ni kina Mama wa nyumbani hivyo "husband material" zinaenda ofisini wakati wife zipo nyumbani kwa majukumu madogo madogo

2. Hawa wanawake wasio na pete kuna mawili, aidha hawajabahatika kuolewa (siku hizi wanaume hawafanyi mchezo kabisa, huolewi eti kisa tu una papuchi) au hawajabahatika kuolewa na sio wadangaji (wanajipambania); maana wangekuwa wadangaji wasingekuwa wanagombania mabasi na wanaume

3. Nimechunguza hii hali ya petelesness na nikaihusisha na umri wa sura nazioziona aisee hali ni mbaya sana kwa wasimbe (30 na kuendelea kwa muktadha wa uzi huu), unazeeka hujaolewa huko mbele utakuja kumtegemea nani?
ndani ya majumba ya wanandoa hivi sasa hasa mijini mambo ni mengi na ya moto sana.

ukipigwa makofi chumbani na mkewe, usiende kuripoti Polisi tafadhali, bora hakuna aliekuona ukichezea makwenzi na makofi hayo.

Ndugu zangu wanandoa, tuvimiliane na kusameheana.

Bora kuvua pete kuliko kuuana.

Mungu Ibariki Taasisi ya Ndoa 🐒
 
Nilikosa cha kufanya na bundle ilikuwa imekatika kwa simu, nikapata idea ya kuhesabu pete za ndoa vituoni na kusema kweli inaonesha wanaume wengi sana wana pete vituoni kuliko wanawake, katika kudadisi dadisi katika halmashauri ya ubongo wangu nikaja na majibu yafuatayo;

1. Wingi wa wanaume kuwa na pete kuliko wanawake yaonesha labda wake zao ni kina Mama wa nyumbani hivyo "husband material" zinaenda ofisini wakati wife zipo nyumbani kwa majukumu madogo madogo

2. Hawa wanawake wasio na pete kuna mawili, aidha hawajabahatika kuolewa (siku hizi wanaume hawafanyi mchezo kabisa, huolewi eti kisa tu una papuchi) au hawajabahatika kuolewa na sio wadangaji (wanajipambania); maana wangekuwa wadangaji wasingekuwa wanagombania mabasi na wanaume

3. Nimechunguza hii hali ya petelesness na nikaihusisha na umri wa sura nazioziona aisee hali ni mbaya sana kwa wasimbe (30 na kuendelea kwa muktadha wa uzi huu), unazeeka hujaolewa huko mbele utakuja kumtegemea nani?
Dah!Kwa hiyo umejipa kazi ya "Mr.Kuoa"?
 
Tafiti za namna hii zina mchango mdogo sana kwa Taifa.
Anyway inawezakuwa wanaume hao umewaona wengi kwa idadi ndio wale ambao wake zao wanakaa home tu na hii kufanya uone wao ni wengi zaidi ya wanawake.

Binafsi naamini uchawi upo na wewe hapo ulipo umerogwa ndio maana unajihusisha sana na kufuatilia vidole vyenye pete😃
Ukimaliza utafiti huu sijui utakuja na upi

Ndugu yangu, upofu wa kwanza ni pale unaposhindwa kabisa kutafakari jamii unayoishi
Kutwa tupo busy kusaka pesa na tunapitwa kabisa kufanya tafakari kama hizi za msingi
 
Wanawake wengi kuliko wanaume,hao ambo hawana pete ila hakuna aliyesingle hata mmoja wao wote wana wanaume wao.

All in all mind your fkn bidness.
 
Wanawake wengi kuliko wanaume,hao ambo hawana pete ila hakuna aliyesingle hata mmoja wao wote wana wanaume wao.

All in all mind your fkn bidness.

I was minding my business na ndio maana sijamsumbua hata mmoja katika research yangu
 
Mke zaidi ya mmoja kwa uchumi gani tulionao?
Ulitaka uwe na pesa kiasi gani ndio uwe na mke zaidi ya mmoja,ili hali hata huyo mmoja umeshindwa kumhudumia.

Polygamy ni way of life sio suala la uchumi.
 
Kwani we una mmoja tu?
Rasmi ni mmoja...
Wasio rasmi watatu...
Mapoozeo rasmi wawili...
Wale wa kupita nao.....ambao sijazaa nao...idadi siijui....na bado sebene laendelea....😜
 
Back
Top Bottom