Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kumbe waislamu hawavai pete?Hujui vingi kuhusu ndoa mkuu.ingia ukajionee huko ndani
Sio Kila asievaa Pete hajaolewa Wala kuoa.mambo mengi sana
Pia wengine mf waislam hawavai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe waislamu hawavai pete?Hujui vingi kuhusu ndoa mkuu.ingia ukajionee huko ndani
Sio Kila asievaa Pete hajaolewa Wala kuoa.mambo mengi sana
Pia wengine mf waislam hawavai
Ulijiuliza swali kwamba miongoni mwa hao wengine ni wasabato?Nilikosa cha kufanya na bundle ilikuwa imekatika kwa simu, nikapata idea ya kuhesabu pete za ndoa vituoni na kusema kweli inaonesha wanaume wengi sana wana pete vituoni kuliko wanawake, katika kudadisi dadisi katika halmashauri ya ubongo wangu nikaja na majibu yafuatayo;
1. Wingi wa wanaume kuwa na pete kuliko wanawake yaonesha labda wake zao ni kina Mama wa nyumbani hivyo "husband material" zinaenda ofisini wakati wife zipo nyumbani kwa majukumu madogo madogo
2. Hawa wanawake wasio na pete kuna mawili, aidha hawajabahatika kuolewa (siku hizi wanaume hawafanyi mchezo kabisa, huolewi eti kisa tu una papuchi) au hawajabahatika kuolewa na sio wadangaji (wanajipambania); maana wangekuwa wadangaji wasingekuwa wanagombania mabasi na wanaume
3. Nimechunguza hii hali ya petelesness na nikaihusisha na umri wa sura nazioziona aisee hali ni mbaya sana kwa wasimbe (30 na kuendelea kwa muktadha wa uzi huu), unazeeka hujaolewa huko mbele utakuja kumtegemea nani?
Mahari yako hata iwe bilioni 9999999999999999 haikufanyi wewe kuwa sole owner of my mbususu.Fafanua dada yangu, hatujaelewa
Unatakiwa uchomwe moto alive!Unakuaje na akina mama wengi hivyo?Na hao wawili wawe mwili mmoja tu.Rasmi ni mmoja...
Wasio rasmi watatu...
Mapoozeo rasmi wawili...
Wale wa kupita nao.....ambao sijazaa nao...idadi siijui....na bado sebene laendelea....😜
Ulijiuliza swali kwamba miongoni mwa hao wengine ni wasabato?
Mahari yako hata iwe bilioni 9999999999999999 haikufanyi wewe kuwa sole owner of my mbususu.
Ukiwa na pete wewe husband material na wadada wengi watataka kumvua nafasi mkeoWamama wengi hawavai pete kwann,lakin waume zao unawakuta nazo
Huoni kuwa humtendei haki aliyejimilikisha mbususu yako? Utapataje bahati kwa kumdanganya mtoto wa watu?
Ninastahili dhawabu manake hawa nina wasitiri,,,,infakti dini yangu hairuhusu lakini kiuhalisia na asili ya kwetu ni jambo la kheri sana,,,,,,,,, baba yangu anao rasmi wawili wasio rasmi wawili,,,vivyo hivyo babu alikuwa nao kadhaa na KANISA linawaheshimu mpaka kesho...👍,,,,hata mie kanisani kama kawaida.....na mbege juu...Unatakiwa uchomwe moto alive!Unakuaje na akina mama wengi hivyo?Na hao wawili wawe mwili mmoja tu.
Tafiti za namna hii zina mchango mdogo sana kwa Taifa.
Anyway inawezakuwa wanaume hao umewaona wengi kwa idadi ndio wale ambao wake zao wanakaa home tu na hii kufanya uone wao ni wengi zaidi ya wanawake.
Binafsi naamini uchawi upo na wewe hapo ulipo umerogwa ndio maana unajihusisha sana na kufuatilia vidole vyenye pete😃
Ukimaliza utafiti huu sijui utakuja na upi
La tatu, yawezekana hao mademu kwenye utafiti wako ni WASABATO (huwa hawavai Pete za ndoa hata kama wameolewa) ama ni wa imani nyingine ile...au kabila jingine lilemawili
Ameleta mtazamo ambao ni mjadala mkubwa sana duniani kwa sasa, na anafanya analysis nzuri tu, Kama unaona hauna maana endelea na shughuli zako za maendeleo!
Mengi na pesa zake zote ( RIP ) MAPENZI yalimwendesha, wewe ni Nani
Umesoma mstari mmoja hebu Soma tena
Utetezi wako ni mrefu na una mashiko.Upewe wawili wa nyongeza.Ninastahili dhawabu manake hawa nina wasitiri,,,,infakti dini yangu hairuhusu lakini kiuhalisia na asili ya kwetu ni jambo la kheri sana,,,,,,,,, baba yangu anao rasmi wawili wasio rasmi wawili,,,vivyo hivyo babu alikuwa nao kadhaa na KANISA linawaheshimu mpaka kesho...👍,,,,hata mie kanisani kama kawaida.....na mbege juu...
Baadhi hawavai.baadhi wanavaa.sio woteKumbe waislamu hawavai pete?
Unavyomtetea kama vile yeye anavaa chupi ya chuma.