Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Salute guys.
Wakati mwingine mtu unaweza fanya upuuzi halafu kila ukikaa kutafakari uliwaza nini inabaki majuto.
Usiku wa jana nikiwa eneo moja na jamaa kadhaa wakati nimeegemea meza kwa nyuma kuna mbaba wa kituruki nafikiri, alikuwa anapita. Unajua ile mtu anapita nyuma yako wewe umeegemea meza umeangalia mbele. Nilichokifanya nikasogeza mguu wangu kidogo kwa nyuma makusudi ili nimkwae(nimpige kangwara.) Aisee baba wa watu aliyumba kidogo aende chini.
Ni eneo ambalo watu walikuwa wengi. Jamaa zangu wote walicheka. Fasta nilijifanya kumuomba radhi. Ili hali kabisa kiakili ya kawaida kila mtu alijua nimefanya kusudi. Mbaba wa watu alisepa tu kinyonge akiwa hana la kufanya.
Kiukweli naonekanaga mstaarabu sana. Sasa kwa ule upuuzi yaani ni kama bado najuta. Nawaza nimtafute nimuombe radhi tena.
Wakati mwingine mtu unaweza fanya upuuzi halafu kila ukikaa kutafakari uliwaza nini inabaki majuto.
Usiku wa jana nikiwa eneo moja na jamaa kadhaa wakati nimeegemea meza kwa nyuma kuna mbaba wa kituruki nafikiri, alikuwa anapita. Unajua ile mtu anapita nyuma yako wewe umeegemea meza umeangalia mbele. Nilichokifanya nikasogeza mguu wangu kidogo kwa nyuma makusudi ili nimkwae(nimpige kangwara.) Aisee baba wa watu aliyumba kidogo aende chini.
Ni eneo ambalo watu walikuwa wengi. Jamaa zangu wote walicheka. Fasta nilijifanya kumuomba radhi. Ili hali kabisa kiakili ya kawaida kila mtu alijua nimefanya kusudi. Mbaba wa watu alisepa tu kinyonge akiwa hana la kufanya.
Kiukweli naonekanaga mstaarabu sana. Sasa kwa ule upuuzi yaani ni kama bado najuta. Nawaza nimtafute nimuombe radhi tena.