Sijui umekula maharage ya wapi? Kuwa na madeni au kumliki kitu haina uhusiano na aina ya kazi, ni jinsi ubongo wako unavyofikiri tu. Huu utafiti wako ni null and void
Sasa naanza Kuungungana na Mzee wangu Mkapa ingawa mwanzoni nilikuwa nampinga.
Kama na huu ni utafiti, nafikiri kweli tunahitaji mjadala kuhusu elimu yetu.
Ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.