Nimefanyiwa root canal treatment, inanitesa sana hata kula nashindwa

Nimefanyiwa root canal treatment, inanitesa sana hata kula nashindwa

Mayunga234

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2017
Posts
1,725
Reaction score
1,995
Nimefanyiwa root canal treatment nimewekewa dawa sielewi ni dawa au nini inayeyuka kadri siku zinavyoenda na shimo la Jino linaonekana napata shida hata kula siwezi
Mwenye Experience na root canal treatment anisaidie nifanyaje cz doctor kanipiga tarhe had tarhe 20/9
 
Chukua chumvi dissolve kwa maji then unywe uwe kama unasukutua but usimeze fanya hivo times 3, 4, 5 per day kadri unavo weza haita chukua muda unapona kabisa.

Baada ya hapo ulete mrejesho.
 
Chukua chumvi dissolve kwa maji then unywe uwe kama unasukutua but usimeze fanya hivo times 3, 4, 5 per day kadri unavo weza haita chukua muda unapona kabisa.

Baada ya hapo ulete mrejesho.
Kiongozi huyu sidhani kama kesi yake ni maumivu ya jino na kama sikosei huo ni ushauri kwa mwenye maumivu
 
Nimefanyiwa root canal treatment nimewekewa dawa sielewi ni dawa au nini inayeyuka kadri siku zinavyoenda na shimo la Jino linaonekana napata shida hata kula siwezi
Mwenye Experience na root canal treatment anisaidie nifanyaje cz doctor kanipiga tarhe had tarhe 20/9
Mambo vipi!!

Nilifanya root canal meno manne 2017.

Siku ya kwanza walifanya hiyo treatment maumivu yalikua kawaida.

Nikarudi clinic mara mbili kwa ajili ya marekebisho interval ilikua week mbili.

Sikuwahi pata maumivu mpaka kusema kwa mtu.

Je umepewa dawa za maumivu?

Umefanyia hospital gani? Mbona tarehe 20 ni mbali sana? Hebu rudi hospital mzee maumivu ya meno yanachizisha...
 
Ukigonga K Vant hayo maumivu yataumana yenyewe na hayatarudi tena nakwambia.

Fanya hivyo utanishkuru mkuu...!
 
Pole sana, nashindwa ni explain vipi maana tayari umeshafanya hivyo sijui uwezo wa huyo doctor
ila hilo eneo ni nyeti sana kuna mishipa ya fahamu ndio maana sio busara kugusagusa hilo eneo kizembe.
My story
Kabla sijajihusisha na tiba asili miaka mitano hivi iliyopita mimi jino langu lilitoboka katikati niliumwa sana
usiku (mid-night) mmoja nililia kinoma nadhani sijawai kuumwa hivyo wenye experience na hili watakubaliana
na mimi yani moja haikai na mbili haikai yani unalia na sauti haitoki mbaya sikua na dawa na kutuliza maumivu.
Asubuhi nilienda kwa wataalamu wa tiba asili wakanipa unga flani kweli ukatuliza maumivu kwa mda ila
yakawa yanarejea mara kwa mara ila tangu nigundue dawa ya hili sijang'oa wala sijaenda hospitali niko poa tu nakula hadi keki.
teeth.JPG

tongue.JPG

Dawa ninayo ni ya uhakika na wala usingekua na haja yakufanya hiyo root canal treat nikuzinguana tu.
Hii dawa yangu inatibu jino ililotoboka ,fizi, sore throat, mouth alcers na thyroid gland ambayo inaratibu kiasi cha calcium kwenye mifupa. Tena kwa ku goggle tu. Unaweza jiuliza vipi kwenye thyroid gland alafu kusukutua tu "Kwenye ulimi mwisho kuna kishimo kidogo kinachoshuka hadi kwenye thyroid gland kinaitwa Foramen cecum "This small, blind hole at the back of the tongue is a remnant of where the thyroid gland started to develop in the embryo, before it dropped down into the neck" hivyo hapo ndio dawa inapitia)
Kila kitu nacho jibu najibu kwa weledi mkubwa. Kama unahitaji hii dawa nicheki hata kwa ushauri tu.
 
Pole sana, nashindwa ni explain vipi maana tayari umeshafanya hivyo sijui uwezo wa huyo doctor
ila hilo eneo ni nyeti sana kuna mishipa ya fahamu ndio maana sio busara kugusagusa hilo eneo kizembe.
My story
Kabla sijajihusisha na tiba asili miaka mitano hivi iliyopita mimi jino langu lilitoboka katikati niliumwa sana
usiku (mid-night) mmoja nililia kinoma nadhani sijawai kuumwa hivyo wenye experience na hili watakubaliana
na mimi yani moja haikai na mbili haikai yani unalia na sauti haitoki mbaya sikua na dawa na kutuliza maumivu.
Asubuhi nilienda kwa wataalamu wa tiba asili wakanipa unga flani kweli ukatuliza maumivu kwa mda ila
yakawa yanarejea mara kwa mara ila tangu nigundue dawa ya hili sijang'oa wala sijaenda hospitali niko poa tu nakula hadi keki.

Dawa ninayo ni ya uhakika na wala usingekua na haja yakufanya hiyo root canal treat nikuzinguana tu.
Hii dawa yangu inatibu jino ililotoboka ,fizi, sore throat, mouth alcers na thyroid gland ambayo inaratibu kiasi cha calcium kwenye mifupa. Tena kwa ku goggle tu. Unaweza jiuliza vipi kwenye thyroid gland alafu kusukutua tu "Kwenye ulimi mwisho kuna kishimo kidogo kinachoshuka hadi kwenye thyroid gland kinaitwa Foramen cecum "This small, blind hole at the back of the tongue is a remnant of where the thyroid gland started to develop in the embryo, before it dropped down into the neck" hivyo hapo ndio dawa inapitia)
Kila kitu nacho jibu najibu kwa weledi mkubwa.
Kama unahitaji hii dawa nicheki hata kwa ushauri tu.
Kama una dawa haina haja kujificha kwenye maelezo , toa location unapatikanaje, na kama wewe ni mtoa huduma hiyo.. Watu wengi watafaidika kwenye eneo.
 
Kama una dawa haina haja kujificha kwenye maelezo , toa location unapatikanaje, na kama wewe ni mtoa huduma hiyo.. Watu wengi watafaidika kwenye eneo.
Mimi niko Moshi maeneo ya Soko la relini karibu na kiwanda cha Serengeti. Call 0687439333
 
Pole ndio ujue prevention is better than cure ungefuata kanuni za kutunza meno usingefikia hapo.Pole sana ndio tiba yenyewe otherwise ung'oe
Sijui wewe pengine ni msafi sana ila kunakitu naomba nikujuze kuna kiwango cha calcium mwilini pia kikipungua huweza leta shida hii, inajulikana sehemu nguma kuliko zote kwenye mwili wa mwana damu ni jino. Ila mara nyingie huweza kupata tatizo la MENO kuvunjika vunjika, sasa sijui hili pia ni swala la usafi?
Jamani hili haliondoi umuhimu wa usafi, tusafishe vinywa pia ni muhimu kwa afya zetu wenyewe.
 
Sijui wewe pengine ni msafi sana ila kunakitu naomba nikujuze kuna kiwango cha calcium mwilini pia kikipungua huweza leta shida hii, inajulikana sehemu nguma kuliko zote kwenye mwili wa mwana damu ni jino. Ila mara nyingie huweza kupata tatizo la MENO kuvunjika vunjika, sasa sijui hili pia ni swala la usafi?
Jamani hili haliondoi umuhimu wa usafi, tusafishe vinywa pia ni muhimu kwa afya zetu wenyewe.
Pole tena sio swala la usafi bali pia ungeenda kumwona mtaalam mapema ingesaidia
 
Nimefanyiwa root canal treatment nimewekewa dawa sielewi ni dawa au nini inayeyuka kadri siku zinavyoenda na shimo la Jino linaonekana napata shida hata kula siwezi
Mwenye Experience na root canal treatment anisaidie nifanyaje cz doctor kanipiga tarhe had tarhe 20/9

Mkuu ma Dk wengi wanazingu kwenye hii treatment-KUWA MAKINI SANA, hasa Hindu Mandali watakuletea shida saana nimeng’oa menu 4 pale kizembe. Mwisho wa matatizo yangu ya menu na root za kiwango cha juu kabisa ni Muhimbili kule kwa ma specialist ( opposite na wood ya kujifungulia jengo la JK) na sio SCHOOL OF DENTISTS. Kule asee ndio wataalamu wa Tanzania waliko na walinifanyia hiyo root canal kwa utalamu sana, kuna wakati wana rekebisha meno bila ganzi asee sio kila jino ni ganzi wako vyema sana. Kazi kwako kuna Dk Martine Longida, Dr. Kessy n.k wako wengi tuu. Ila hao wa 2 ndio nawatumia wanakuwa muhimbili na mlonganzila
 
nenda muhimbili pale kuna Dr soud masoud au Dr kamugisha utapata unachostahili ,nenda dental penyewe ,hutajutia

Clinic zenu zamtaani hizo zitakuja kuwang'ofoa rohozenu

Kama bima unayo kimbia nenda

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
i aint need that, am the one rare u could find on earth who remanding u about organic foods, the source of diseases. 4gert about dramas awake o falling on traps !
Ni kiingereza hiki?
 
Kuna siku nikahisi gego la juu kulia kama kuna kitu kimekwama kupeleka toothpick nikashangaa kuna kipande kimetoka na kikabaki kitobo.

Since 2018 to date sijatafunia upande wa kulia
 
Kama una dawa haina haja kujificha kwenye maelezo , toa location unapatikanaje, na kama wewe ni mtoa huduma hiyo.. Watu wengi watafaidika kwenye eneo.
DFP Dental formula power, tangu nitumie hiyo dawa ni zaidi ya miaka 15 sasa sijapata matatizo ya meno teno.

Inapatikana kwenye pharmacy hasa Kiomboi kwa Dar, ubungo plaza sijui kuhusu mikoani.

Pia dawa ya meno ya zoazoa ni nzuri pia kwa kinga na kutibu ganzi.

Kuna dawa ya meno nyingine inaitwa sensodyne ni nzuri sana, ukitumia hiyo huwezi kupata tatizo la meno, bei yake imechangamka kidogo, shuka la mmasai.
 
Nimefanyiwa root canal treatment nimewekewa dawa sielewi ni dawa au nini inayeyuka kadri siku zinavyoenda na shimo la Jino linaonekana napata shida hata kula siwezi
Mwenye Experience na root canal treatment anisaidie nifanyaje cz doctor kanipiga tarhe had tarhe 20/9
Kama ulienda kwenye private hospital hayo ni ya kawaida sana, kuna hospital moja Dar walinifanyia hio kitu sikulala kabisa yaani kama vile nileinda kununua maumivu hadi pale nilipopata akili nikaenda Muhimbili.....jamaa walinirekebisha kwa 30,000 tu na sijawahi kusikia maumivu. Yule Mbwa pale Magomeni angeniua
 
Back
Top Bottom