Nimefeli chuo, naomba ushauri

Pole.

Ulikuwa mwaka wa ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very sorry but try to minimize number of women in order to win
 
Unatakiw upate muda wakumpumzika hata miezi 3 ndio uje tukushauri mkuu
Ila jua kusoma sio kuelimika na kwenda chuo sio kufaniksha maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi natoa ushauri wa kuendelea mbele ili upate degree yako kihalali na kwa ufasaha upya. Kama una vyeti vya form four au vya form six kati ya hivi viwili na unaufaulu wa alama hata D zaidi ya masomo matatu, njoo Open University uanze program ya Foundation mwaka mmoja alafu ujipange upate GPA nzuri kwani ujachelewa na mwakani uanze kusoma degree ya unachotaka kujifunza na Open ukiwa unasoma degree na hauna mambo mengi hata miaka miwili unatoka unaweza kuwaacha hata waliokutangulia. Natanguliza pole na ukakamavu kijana. Amka upambane tena, nafasi zipo.

Kama upo Dar es Salaam fika Kinondoni Biafra utakuta ofisi za chuo kwa maelezo zaidi, Ilala wapo jengo la elimu ya watu wazima floor ya pili karibia na maktaba ya Taifa, na pia mikoani wapo karibia mikoa yote ulizia ofisi za tawi chuo kikuu huria cha Tanzania au Open University of Tanzania utaelekezwa, vingine unaweza google online unaweza kuApply mda wowote. Tembelea wovuti yao www.out.ac.tz
 
Take a break, relax kwanza wacha ubongo urudi kwenye state yake ya kawaida then fanya maamuzi sahihi
 
Dunia hii Ina maajabu sana
Unaweza kuja kufanikiwa sana maishani bila hata hiyo elimu unayoililia



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
wanafamilia ya JF
Mimi nilikuwa nasoma TIA course ya procurement and logistics management nikadisco semester ya 1 ikabidi nikae nyumban hadi September intake ni apply tenah lakin naomba ushauri wenu nihame chuo chengine uwenda pale nimeshindwa au niendele pale pale nifanye kuapply tenah naomba ushauri.
 
wanafamilia ya JF
Mimi nilikuwa nasoma TIA course ya procurement and logistics management nikadisco semester ya 1 ikabidi nikae nyumban hadi September intake ni apply tenah lakin naomba ushauri wenu nihame chuo chengine uwenda pale nimeshindwa au niendele pale pale nifanye kuapply tenah naomba ushauri.
 
Kwa nin ulidisco?
 
Acha tabia za u miss utafaulu, shule inahitaji juhudi za kusoma ata kama ni kozi ndogo.
 
Kwanza fahamu kilichokufanya udisco ni kipi?je umesha kitafutia majibu..manaake hata ukienda chuo kingine usije dsico tena.

Pia nakushauri hama chuo kasome kwingine.


#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…