Mkuu kwann nisubir , naogopa wanaweza kufika sitaSubiri hao wawili wenye mimba wajifungue ndiyo uje tena hapa kuomba kupewa utaratibu wa kufunga uzazi.
Kwa hiyo kwa njia hii ukisex hukojoi au?Kuna hii inaitwa vasectomy...mirija ya kupitisha manii/mbegu hukatwa. Ni njia ambayo ni ya kudumu, ni vigumu kurejesha hali ya awali. Tatizo linalosemwa juu ya njia hii kutengeza kitu kinaitwa sperm granuloma, hiki ni kama kiuvimbe flani ambacho chaweza leta maumivu kidogo na cha DHANIWA kuweza kubadilika na kuwa saratani (cancer)
Watoto watano ni wengi na sina namna ya kuzuia niliozaa nap wanahitaj watoto zaiddu!! mwenyewe nimebaki mdomo wazi ndo mala ya kwanza kuskia hiliwazo we utakuwa mwanaume wa dalusalam
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hao wanawake zako hawawezi kutumia njia za uzazi wa mpango?
Kwan hakuna malengo ya watoto MTU anaohitaj kuwa nao Mkuu?hahahaha nimecheka eti wamevuka lengo hahahha! hatar
I'm very sensitive to that Mkuu!!Cheki kwanza vinasaba(DNA) za hao watoto unaojifikirisha ni wako kabla ya kupeleka kende zako kuminywa, natumaini usipofanya hivyo mapema utalia kile kilio kilichoandikwa kwenye Biblia "cha kusaga meno)
Ili kuepuka madhara yasiotarajiwa kwanini usiwe unatumia njia ya kutoa nje wazungu wakiwa wanakuja...?Nimefikia lengo wakuu!!
Tangu nakua nilikuwa na malengo ya kuwa na watoto wanne kila mmoja akiwa na mama take, lengo limefikia na hata kupita maana sasa kuna watoto watatu na mimba mbili. Nimeona njia sahihi ya kuzuia kuendelea kupata watoto zaidi ni mm kufunga kizazi. Nahitaj namna sahihi ya kufanya ivyo bila kuadhiri uwezo wangu Wa kusex na nguvu za kiume. Nipo tayar kulipa gharama yeyote kwenye hospital yeyote hapa Afrika Mashariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ambayo yamenishinda kabisa hilo no mojawapo pamoja na mipiraIli kuepuka madhara yasiotarajiwa kwanini usiwe unatumia njia ya kutoa nje wazungu wakiwa wanakuja...?
Watoto wangapi Mkuu? Pwan mbona ndio wanakuwa na idad kubwa ya watoto Mkuu? Mimi sio MTU Wa Pwan na wala sio hata Wa karibu na pwaniMmh hili swala lako lina ukakasi, kidume utaanzaje kujifungia fursa ya kuwa na watoto!?
Bila shaka ww ni mtu wa pwani.