Msukuma Msomi
Senior Member
- Feb 6, 2017
- 173
- 149
- Thread starter
- #181
C'moonHueleweki [emoji1] [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C'moonHueleweki [emoji1] [emoji1]
Sijilipii ndugu, sina hiyo jeuri. mi ni mwajiriwaHizo mwembwe we ni muhaya wasukuma hawa wa kubana matumizi ulale kwa hoteli 2 months? kila la heri bahna mi weusi mangala umenikosesha njiwa "
hahaaaaa ila humu ndani kuna watu wanajua kukatisha tamaa ingekuwa ni thread ya mdada mambo yangekuwa mazuri, msukuma nikutakie kila la kheri uje utupe na kadi za mchangoNdio nimekosa. Nitafutie wewe basi.
Jibu zuri sana hiliNdio nimekosa. Nitafutie wewe basi.
Wasukuma bwana!!!All the best ila hzo bwembwe ndo kutongoza gani huko sasa
Unanisaidia kuendesha maisha ya kila siku, kusaidia ndugu zangu na kuchangia pato la taifa kupitia kodi mbalimbali.
ukiwemo na wewe akuPM mana umecomment[emoji38]
pole wewe ungekuwa huna interests na huyu kaka usingecomment na post yangu isingekugusa,mbona wadada kibao ,wameignore,wewe shankupe ndio imekugusa,ukabaki unabwabwaja hapa,limeingia mtimani eeeh poleeeee again unaniita changu,vipi nilimlipisha baba yako au?
kwa mtazamo wa huyo nadhani ni dada sikosei maana ameandika gazeti ukurasa mzima ila naona yuposerious ningekuwa sina yule muraaa aisee ningejipeke kwa huyu hahahahaaaaaani dada huyu?
Hebu tafuta neno "kuolewa" kwenye post yangu! ukipata niPM nikutumie zawadi.kwa mtazamo wa huyo nadhani ni dada sikosei maana ameandika gazeti ukurasa mzima ila naona yuposerious ningekuwa sina yule muraaa aisee ningejipeke kwa huyu hahahahaaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hizo mwembwe we ni muhaya wasukuma hawa wa kubana matumizi ulale kwa hoteli 2 months? kila la heri bahna mi weusi mangala umenikosesha njiwa "
oo in boc tulongeHodi wanaJF,
Trending news ni Makonda na vita thidi ya madawa ya kulevya, naunga mkono mapambano hayo, lakini naendelea na ratiba yangu ambayo leo ndio siku yangu rasmi ya kutangaza nia ya Kuchumbia na Kuoa kupitia Mtandao pendwa JamiiForums.
Kama upo Dar, na wewe ni binti ambaye upo tayari kuingia kwenye mahusiano ya Ndoa, tafadhali jitokeze tuzungumze. Mimi niko wazi, utanifahamu na nitakupeleka Mwanza kwa wazazi ukiwa tayari, na makazi yetu kama wanandoa yatakuwa hapa Dar es Salaam. Naomba niweke wazi yafuatayo:
Mwenye nia ya dhati aje PM.
- Muda wetu wa kudate utakuwa mfupi, kwahiyo naomba ajitokeze binti/mwanamke aliye tayari kwa Ndoa kabisa, tutadate mbele kwa mbele.
- Nimeamua kuoa mimi binafsi, pia kazi yangu inanitaka niwe na Mke ili kujiongezea heshima kwenye jamii, pia wazazi wameshabariki maamuzi yangu.
- Naomba nisiwe mnafiki; mimi ni Msukuma, hivyo napenda mwanamke mweupe au maji ya kunde.
- Mimi ni msomi, hivyo kasoro ya kupishana umri kwa wanandoa/wachumba kwangu haina nafasi, ukinizidi umri, sawa, nikikuzidi, sawa.
- Naomba uwe mkazi wa Dar es Salaam. Mimi kwasasa naishi Hotelini (nilikuja kikazi na nina miezi 2 sasa), bado naangalia maeneo mazuri ya kukodi nyumba ya kuishi.
- Ukiwa na elimu ya chuo na kazi yako, tutapaa kiuchumi haraka. Ukiwa huna kazi, nitakutafutia ajira sawasawa na elimu yako.
- Dini yangu ni mkristo, rangi yangu ni maji ya kunde, umbo langu ni athlete/la kimichezo, umri wangu ntakwambia PM, kazi yangu ntakwambia PM, haiba yangu ni mchezi, udhaifu wangu ni upole.
NB: Kama kuna mwanaJF anamfahamu binti/mwanamke mwenye hitaji kama langu, basi asisite kunijulisha PM.
Hodi wanaJF,
Trending news ni Makonda na vita thidi ya madawa ya kulevya, naunga mkono mapambano hayo, lakini naendelea na ratiba yangu ambayo leo ndio siku yangu rasmi ya kutangaza nia ya Kuchumbia na Kuoa kupitia Mtandao pendwa JamiiForums.
Kama upo Dar, na wewe ni binti ambaye upo tayari kuingia kwenye mahusiano ya Ndoa, tafadhali jitokeze tuzungumze. Mimi niko wazi, utanifahamu na nitakupeleka Mwanza kwa wazazi ukiwa tayari, na makazi yetu kama wanandoa yatakuwa hapa Dar es Salaam. Naomba niweke wazi yafuatayo:
Mwenye nia ya dhati aje PM.
- Muda wetu wa kudate utakuwa mfupi, kwahiyo naomba ajitokeze binti/mwanamke aliye tayari kwa Ndoa kabisa, tutadate mbele kwa mbele.
- Nimeamua kuoa mimi binafsi, pia kazi yangu inanitaka niwe na Mke ili kujiongezea heshima kwenye jamii, pia wazazi wameshabariki maamuzi yangu.
- Naomba nisiwe mnafiki; mimi ni Msukuma, hivyo napenda mwanamke mweupe au maji ya kunde.
- Mimi ni msomi, hivyo kasoro ya kupishana umri kwa wanandoa/wachumba kwangu haina nafasi, ukinizidi umri, sawa, nikikuzidi, sawa.
- Naomba uwe mkazi wa Dar es Salaam. Mimi kwasasa naishi Hotelini (nilikuja kikazi na nina miezi 2 sasa), bado naangalia maeneo mazuri ya kukodi nyumba ya kuishi.
- Ukiwa na elimu ya chuo na kazi yako, tutapaa kiuchumi haraka. Ukiwa huna kazi, nitakutafutia ajira sawasawa na elimu yako.
- Dini yangu ni mkristo, rangi yangu ni maji ya kunde, umbo langu ni athlete/la kimichezo, umri wangu ntakwambia PM, kazi yangu ntakwambia PM, haiba yangu ni mchezi, udhaifu wangu ni upole.
NB: Kama kuna mwanaJF anamfahamu binti/mwanamke mwenye hitaji kama langu, basi asisite kunijulisha PM.[/Q nitafute IN BOX TUCGATI
Miss natafuta usitufanyie hivyo wenzio jamaniiiiiiiiiii.Hii inaitwa Counter Attack!msukuma unatutega hivihivi sio? njoo ukae kwangu hadi upate nyumba tuanzie hapo kwanza ndoa itajiseti tu yenyewe
Asanteeeeee!!Sio mbwembwe mkuu, unajua sisi wasomi tuko straight, kwahyo tuvumiliane.
Wadada kama nyie kwetu mnanyongwaaa. Kuna factors nyingi.Hata Hapa Ni sehemu ndo mana JF wakaweka jukwaa hili.Kama hayupo interested why opening this page Go to hell and get lost!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Huo uchiz aisee umekosa wanawake huko uliko mpaka kwenye mitandao shenz type unajidharrsha tyu..