1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
- Thread starter
-
- #121
[emoji16] [emoji16]Sawa mkuu. Nashukuru kwa ushauri, lakini hawa wala bwimbi wanasumbua sana kule uswazi. Wanaiba mapipa ya taka, wanaiba ndoo za kuogea na ukianika suruali yako iliyo toboka na vilaka wanakomba pia. Sasa hii push up na squatting itaishia kwao [emoji23]
[emoji16] [emoji16]Nilitaka kukwambia inawezelana jamaa yuko nchi nyingine ambako huko ni asubuhi au jioni, ila nilipoona manzese nikajisemea sidhani kama kuna manzese sehemu nyingine mbali na Tz.
3+2.5 Over
Mkuu utakuwa na nguvu sana! Yaani push up 20 mara 10. Duh! Siyo mashara!Kwa mfano ktk push, mtu akikwambia piga push up 20 maana yake umeenda reps 20 kwa round 1,
aise upo vzr Me 20 to 50 asbh na jioni zinanitosha pia napiga kata tumbo 20 to 30 kwa sk asbh na jion mwl saiv upo imaraNaenda reps 200 ndani ya round 10
Karibu manzese kwetu mkuu[emoji3]Nilitaka kukwambia inawezelana jamaa yuko nchi nyingine ambako huko ni asubuhi au jioni, ila nilipoona manzese nikajisemea sidhani kama kuna manzese sehemu nyingine mbali na Tz.
[emoji16]
Asante mkuu, hata wewe unaweza ukiweka niaMkuu utakuwa na nguvu sana! Yaani push up 20 mara 10. Duh! Siyo mashara!
Hongera.
Mkuu hongera, ila ongeza na trycept na sqwashaise upo vzr Me 20 to 50 asbh na jioni zinanitosha pia napiga kata tumbo 20 to 30 kwa sk asbh na jion mwl saiv upo imara
Nisha kaa hapo miaka ya nyuma pale karibu na stand ya ndizi, miaka ya 1997,Karibu manzese kwetu mkuu[emoji3]
Ata pipa la taka wanaiba, basi balaa tupu. Leo kibatari changu kimejaa mafuta ndiyo maana nachat bila wasi. Karibu sana uswazi manzese kwetu, mgeni hafukuzwi huku utakimbia mwenyewe! [emoji23]
Mwili uko strong [emoji16]
Inatengeneza shape![emoji16] [emoji16] [emoji16] kwa nn?
Acha kuchat wewe .....piga push up[emoji23] [emoji23]Wakuu karibuni ndo namaliza zoezi hivi punde tu
Si ndo vzuriInatengeneza shape!
Mkuu pcha hapana,Picha mkuu!
Nishamaliza, hapa natafuna karanga tu [emoji16]Acha kuchat wewe .....piga push up[emoji23] [emoji23]
Mmmmm[emoji23]Nishamaliza, hapa natafuna karanga tu [emoji16]
[emoji16] [emoji16] eeeh hii muhim sanaa kwa watu wa mazoezi,, tuna kaaa mbali na vyakula vya sukari na vile vya super market,,Mmmmm[emoji23]
Hongera...liwe zoezi endelevu sio la kuzugia![emoji16] [emoji16] eeeh hii muhim sanaa kwa watu wa mazoezi,, tuna kaaa mbali na vyakula vya sukari na vile vya super market,,
Tunakula natural