Nimefikisha miezi miwili ya kufanya mazoezi bila kutumia vyuma vizito, nafanyia home tu

Nimefikisha miezi miwili ya kufanya mazoezi bila kutumia vyuma vizito, nafanyia home tu

Sawa mkuu. Nashukuru kwa ushauri, lakini hawa wala bwimbi wanasumbua sana kule uswazi. Wanaiba mapipa ya taka, wanaiba ndoo za kuogea na ukianika suruali yako iliyo toboka na vilaka wanakomba pia. Sasa hii push up na squatting itaishia kwao [emoji23]
[emoji16] [emoji16]
 
Nilitaka kukwambia inawezelana jamaa yuko nchi nyingine ambako huko ni asubuhi au jioni, ila nilipoona manzese nikajisemea sidhani kama kuna manzese sehemu nyingine mbali na Tz.
[emoji16] [emoji16]
 
Nilitaka kukwambia inawezelana jamaa yuko nchi nyingine ambako huko ni asubuhi au jioni, ila nilipoona manzese nikajisemea sidhani kama kuna manzese sehemu nyingine mbali na Tz.
Karibu manzese kwetu mkuu[emoji3]
Ata pipa la taka wanaiba, basi balaa tupu. Leo kibatari changu kimejaa mafuta ndiyo maana nachat bila wasi. Karibu sana uswazi manzese kwetu, mgeni hafukuzwi huku utakimbia mwenyewe! [emoji23]
 
Karibu manzese kwetu mkuu[emoji3]
Ata pipa la taka wanaiba, basi balaa tupu. Leo kibatari changu kimejaa mafuta ndiyo maana nachat bila wasi. Karibu sana uswazi manzese kwetu, mgeni hafukuzwi huku utakimbia mwenyewe! [emoji23]
Nisha kaa hapo miaka ya nyuma pale karibu na stand ya ndizi, miaka ya 1997,
 
Back
Top Bottom