witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kukimbia na kuruka kamba kuna tofauti gani?Hizo mimi napiga kila siku na kutembea km 5 kila siku nakunywa maji Lita 4 kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukimbia na kuruka kamba kuna tofauti gani?Hizo mimi napiga kila siku na kutembea km 5 kila siku nakunywa maji Lita 4 kila siku.
Hakika mkuu naunga hojaChuma inabidi kukinyanyua ujue kina uzito gani na wewe una uzito upi. Vinaendana na uzito wa mtu, si kujibebea kiholela.
Kuliko gharama hiyo ya kujua uzito wako, kujua uzito wa chuma. Bora pushapu na kuzingatia mlo
Braza cheki na time alioweka, me napiga zoezi na mnyamwezi mmoja anaitwa Shawn Tee ana program yake inaitwa Insanity. Hio ni cardio exercises tu hamna kubeba uzito wa ziada ni mwili wako tu unakupa resistance. Ukiifanya bila a kuzembea ndani ya siku 60 unakuwa ushapata beachbody, umekata haswaa ila mi nafanya kitozi tu!
Kwa nusu saa uongo labda uwe na pumzi ya chui.
Ingia youtube andika Insanity exercises utaona anchofanya!Ndio anafanyaje mkuu.
Huyu jamaa ni noma, nimedownload ya dk25 nimefika dk10 nimekimbia mwenyewe,ntaendelea keshoIngia youtube andika Insanity exercises utaona anchofanya!
Teh teh wale wako vzuriHuyu jamaa ni noma, nimedownload ya dk25 nimefika dk10 nimekimbia mwenyewe,ntaendelea kesho
Jipe moyo tu, mazoez muhim sanasure, kaka nilikua napiga push ups 12
kwanza roundya kwanza alafu narudia tena 12 round ya pili alafu narudia round ya tatu ndo mwisho, alafu naweka migu juu mikono chini nazo napiga 12 kwa round tatu, alafu mikono juu miguu chini nazo 12 round tatu. nikitoka hapo na tetemeka misuli inakaza yani maximum nilikua naishia siku 4 au tano ila changes kubwa na aim ya tizi ni week ufike na nilikua sifikishi.
Tukomae baba, mazoez raha sana yakishaingia damunikweli kabisa, nakumbuka wakati naanza push hata moja nilikua siwezi ila siku nikafika 50 sikuamini yani. umenipa mzuka nianze kuruda mazoezi
siwezi kulala bila kupiga pushp 250 napiga hamsini hamsini mpaka nafika250 yaani ukiniona nilivyo jaa huwezi amini kama ni push`p tu ila ya hitaji moyo na uvumilivu ili upate matokeo mazuri
Mkuu unapga push up tu? Au na mengineyo?siwezi kulala bila kupiga pushp 250 napiga hamsini hamsini mpaka nafika250 yaani ukiniona nilivyo jaa huwezi amini kama ni push`p tu ila ya hitaji moyo na uvumilivu ili upate matokeo mazuri
ndio ila kuna namna ya kuzipiga ingia play store tafuta (workout home)ni inamuongozo mzuri wa push upMkuu unapga push up tu? Au na mengineyo?
we jamaa kama tulikuwa kambi moja jkt iv 2014 combania B kambi unaijua mwenyewe teh teh mambosasa wa demoPushapu ndo mpango mzima, ukimaliza unajenga miguu na tumbo kwisha kazi. Kujaa kwa mwili ni impact ya chakula bora unachokula, mazoezi husaidia kuuweka mwili katika mpangilio mzuri tu.
Hivyo hata pushapu zinafaa kuuweka mwili kwa mpangilio mzuri, ukitumia uzito wako mwenyewe kuliko wa chuma.
[emoji15]Bravo coywe jamaa kama tulikuwa kambi moja jkt iv 2014 combania B kambi unaijua mwenyewe teh teh mambosasa wa demo
ndio wewe mzee baba[emoji15]Bravo coy