Nimefikisha mwaka 1 kwa kufanya mazOezi bila kunyanyua vitu vizitO,

Nimefikisha mwaka 1 kwa kufanya mazOezi bila kunyanyua vitu vizitO,

Nilianza zoezi 2015, mazoezi mazuri sana hasa kwa wanaume,
siamini booster yoyote zaidi ya zoezi
kuna jamaa Youtube anaitwa Chris Heria kwa sasa namfuatilia sana clip zake.
 
Wewe tatizo sio zoezi tatizo ni chakula.

Ukifanya mazoezi kama ni mlafi utaongezeka mara mbili.

Solution piga tizi alafu control unachokula..
Mie msosi wangu huu huu wa kimatumbi blaza
 
Nilianza zoezi 2015, mazoezi mazuri sana hasa kwa wanaume,
siamini booster yoyote zaidi ya zoezi
kuna jamaa Youtube anaitwa Chris Heria kwa sasa namfuatilia sana clip zake.
Aiseeh kumbe ndo ninaye mcopy daily,,


Aiseeh hata mm nakiri huyu jamaa ana tips za uhakika,, mm mwenyewe ndiye ninamfatilia sanaaaaa
 
Piga weight mkuu! hayo mengine huwa ni starter tu! Unapiga hayo unamalizia na weight lifting, matokeo yake ni mara kumi zaidi ya mazoezi bila weight lifting! Ke ndo hawashauriwi kubeba weight! Najua unaogopa maumivu, no pain no gain!
 
Piga weight mkuu! hayo mengine huwa ni starter tu! Unapiga hayo unamalizia na weight lifting, matokeo yake ni mara kumi zaidi ya mazoezi bila weight lifting! Ke ndo hawashauriwi kubeba weight! Najua unaogopa maumivu, no pain no gain!
Weight nlikuwa mfuasi long time ago,, ila siku hizi nataka mwili simple,,

Ule mwili wa juu unakuwa mpana chini spoku hapana,
 
Nenda youtube mcheki hyu mtu anaitwa CHRIS HERIA
Mkuu jamaa ni noma workout zake ni hatari kama anavyosema no equipment needed, naikubali ile build body weight.... bila kisahau brand yake THENIX
 
wp_ss_20190726_0002.png
 
Aiseeh kumbe ndo ninaye mcopy daily,,


Aiseeh hata mm nakiri huyu jamaa ana tips za uhakika,, mm mwenyewe ndiye ninamfatilia sanaaaaa
Mkuu huyu jamaa nilipiga workout moja ya leg aisee ni siku mbili tu nikaanza kuona misuli inajaa kwenye mapaja, nikaamini hapa NO EQUIPMENT NEEDED, anashauri aina ya vyakula vya kutumia.


Kuna mtoto wake naona ameanza kumpigisha zoezi, dogo ameanza kupiga push ups
 
Yaani nile nisishibe hivi kuta kucha kweli blaza?
Unashibaje wewe mwanaume..

Mwanaume kula bakiza sehemu ya maji na hewa.

Sio unakula mpaka tumbo linavimba ukilala kifudifudi upepo ukipiga unazunguka acha hzp wewe.

Hakikisha unafanya zoezi na unakula WASTANI.

mwili wako hauhitaji chakula kiasi cha mtu akala mpaka akajaza ndi ndi ndi.kazi zenyewe ziko wapi
 
Back
Top Bottom