Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Hapo unachagua moja ndio unapiga. Kwa sababu mawili ya juu kila moja ukipiga inahusisha mwili mzima.Mazoezi ya hizo picha zote tatu?au mtu anachagua picha mojawapo ndo anafanyia mazoezi husika
Ukizoea utaacha kuwasha. Hapo ndio unafungua mwili uanze kuzoea kutoka jasho. Anza sasaJamani mie na mazoez mbali mbali..kwnza nikikimbia mwili unawasha[emoji57]
Ukizoea utaacha kuwasha. Hapo ndio unafungua mwili uanze kuzoea kutoka jasho. Anza sasa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Jamani mie na mazoez mbali mbali..kwnza nikikimbia mwili unawasha[emoji57]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...
Aiseee watu hamuishiwi vituko!!.
KUDARTMimi nafanya mazoezi kila siku ya kutembea kwa mwendokasi
Usitake kuniambia kuwa unatumiaga maji tu?Mi nimejitahid sinywi soda [emoji3047]
Duh!Jamani mie na mazoez mbali mbali..kwnza nikikimbia mwili unawasha[emoji57]
kama mmWengine maisha yetu Tu ni mazoezi
Usitake kuniambia kuwa unatumiaga maji tu?
kama mm
Mazoezi yana namna gani Mkuu?na wengine tujaribu kuanza!
Ni sawaJamani mie na mazoez mbali mbali..kwnza nikikimbia mwili unawasha[emoji57]
Uko sawaSwala anakimbia kila sku anafanya zoezi lkni aishi miaka mingi kama Kobe ambae ni mvivu anatembea polepole
Moral of the story : mazoezi sio ya lazima na hayana umuhimu ila haukatazwi kufanya
hata mimi hali hiyo huwa inanitokea ila kama nilistop muda mrefu bila kufanya mazoez, siku nayoanza rasmi huwa hadi nawaza, yani mwili huwa unawasha sana hasa makalio, yani huwa najikuna huku naendelea kukimbia, ila mwili ukipata moto sana hali hiyo hutowekaJamani mie na mazoez mbali mbali..kwnza nikikimbia mwili unawasha[emoji57]
kweli, baadhi ya watu miili huwa inawasha kama hawakuwa na mazoea ya kufanya mazoezi, ikiwemo me[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...
Aiseee watu hamuishiwi vituko!!.
hata mimi hali hiyo huwa inanitokea ila kama nilistop muda mrefu bila kufanya mazoez, siku nayoanza rasmi huwa hadi nawaza, yani mwili huwa unawasha sana hasa makalio, yani huwa najikuna huku naendelea kukimbia, ila mwili ukipata moto sana hali hiyo hutoweka