Hbr wana jf,nimepata msiba.Baba yangu mkubwa amefariki usiku wa kuamkia leo.Kwa wale wenyeji wa nzega mnaweza kuwa mnafahamu,alikuwa bwana afya ktk hospitali ya wilaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.