Nimefiwa na mtoto jana muhimbili!

Nimefiwa na mtoto jana muhimbili!

Dah! hii sredi imenikumbusha mbali sana., I know inauma sana aisee. Lakini ni kazi ya Mungu

Pole sana mkuu
 
Mh.
Spika,
Nami ndiyo nimeiangukia thread hii sasa hivi,
Pole my fellow member.
Mungu hamuonei aliyemuumba.
Hayo ni mapenzi yake.
Aidha Mungu akikuondolea hiki atakupa kingine.
Nakuombea kwake akupe moyo wa kushukuru na subira.
 
Pole sana mungu azidi kukutia nguvu. Tupo pamoja. RIP mwanetu.
 
Pole sana kwa kuondokewa na mwanao Spika.
Amini wote safari yetu ni moja,na jiandae pia
kuimaliza safari yako vyema ili mje kutana sehemu mtakayo
furahia na kushangilia pamoja.

Ame pumzika tu,usisikitike sana.Kuwa na imani.
 
Kwa yeyote aliyetayari kuhudhuria hitima kesho mawasiliano ni:0713 373132/0787 474142!
 
Pole sana kwa kuondokewa na mwanao Spika.
Amini wote safari yetu ni moja,na jiandae pia
kuimaliza safari yako vyema ili mje kutana sehemu mtakayo
furahia na kushangilia pamoja.

Ame pumzika tu,usisikitike sana.Kuwa na imani.

Nashukuru sana mkuu speaker!inshaallah ntajitahidi kumuomba allah aniongoze vema ili siku 1 nikutane na mwanangu kipenzi na tufurahie maisha ya peponi!
 
Nazidi kutoa shukrani zangu kwa wana JF wote kwa moyo wao wa upendo na kunipa faraja,pia shukrani za pekee ziende kwa wote walionipigia simu kuanzia siku niliyopost mpaka sasa,na simu ya hv punde imetoka south africa kwa mwana JF aliyejitambulisha kama"sixpoint"ingawa sikumsikia vizuri but nadhani sikukosea!
Na pia kuna mwana JF 1 ameahidi kunitembelea kesho inshaallah mida ya saa 7 mchana.
Ntazidi kuwashukuru wote kwa mioyo ya kiubinadamu aliyowapa muumba!!!!!
 
pole sana sisi sote kwa mungu tutarejea,tunakuombea uwe na moyo wa subira katika kipind hiki kigum kwani kifo huwa hakizoeleki daima.
 
pole sana Mungu akulinde na akupe nguvu
 
Back
Top Bottom