peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ukilala ukiamka, ukafuatilia uteuzi, utendaji na miradi mkakati iliyoanzishwa na serikali ya awamu ya tano, utaona wazi viongozi niliowataja walikuwa wanasali na kuomba JPM atakufa lini ili wafanye yakao.
Ila hawakumbuki kuwa wanaongoza wananchi 60m ambao hawajawahi kuwaomba kura wala kupigiwa kura.
Sasa upepo uliopo mitaani ni tofauti na uliopo maofisini, na hali ya leo bora na jana.
Hayati Magufuli alifanya yake mema na kujenga mifumo dhabiti ya ukusanyaji mapato ya Serikali , awamu hii haijali wala haifuatilii mifumo hiyo na matokeo yako wanyonge wameanza kuishi kama dikidiki ndani ya Tanzania.
Ili kuweka kumbukumbu sawa hata makatibu wa CCM wilayaveasa wanalima hoho makwao kwa kufukuzwa baada ya kufikisha mabox ya kura za wizi kulikotakiwa na watubkupata uongozi.
Umeme na maji vimekuwa bidhaa adimu kuliko kupata bia.
Ila hawakumbuki kuwa wanaongoza wananchi 60m ambao hawajawahi kuwaomba kura wala kupigiwa kura.
Sasa upepo uliopo mitaani ni tofauti na uliopo maofisini, na hali ya leo bora na jana.
Hayati Magufuli alifanya yake mema na kujenga mifumo dhabiti ya ukusanyaji mapato ya Serikali , awamu hii haijali wala haifuatilii mifumo hiyo na matokeo yako wanyonge wameanza kuishi kama dikidiki ndani ya Tanzania.
Ili kuweka kumbukumbu sawa hata makatibu wa CCM wilayaveasa wanalima hoho makwao kwa kufukuzwa baada ya kufikisha mabox ya kura za wizi kulikotakiwa na watubkupata uongozi.
Umeme na maji vimekuwa bidhaa adimu kuliko kupata bia.