Nimefuatilia utendaji kazi wa Rais Samia, PM Majaliwa na VP Mpango, huwezi kuamini awamu ya tano walikuwa wamoja na Hayati Magufuli

Kodi zilipanda x2 kwa biashara zote enzi hizo
Nilifunga kazi baada ya kuambiwa lipa mara mbili ni maagizo toka juu
We huma biashara acha uongo,
Labda mlikua na share madem na hao TRA
Na biashara yakobutakuta ni kibanda ndo wakuchaji mara mbili?
Acha utani basi.
 
We huma biashara acha uongo,
Labda mlikua na share madem na hao TRA
Na biashara yakobutakuta ni kibanda ndo wakuchaji mara mbili?
Acha utani basi.

Daa mbona una jazba hivyo
Ningeweka ushahidi hapa risiti za 2016/2017 halafu uone na barua waliotuma
Sasa nidanganye kwa faida ya nani au unatetea utawala uliopita ?

Utetezi ni jambo moja na ukweli ni lingine
Sijakutania ujue
 
Hata Hawa walikuwa washkaji Ila haizuii kuwa critical sometimes.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…