Nimefukuzwa kazi naomba msada wa Kisheria

Nimefukuzwa kazi naomba msada wa Kisheria

proxy

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
1,479
Reaction score
1,348
Wakuu habarini za muda huu,siku ya ijumaa nimepata barua ya kusimamishwa mkataba wangu kwa mwajili aliyeniajili toka 2013,kazi niliyokuwa nafanya ni ya mkataba wa miaka miwili miwili ,mwaka jana nilinew mkataba ulikuwa unaisha 2020 mwezi November ,ipo hivi ajili ni ya miaka miwili miwili mkataba ukikalibia kuisha inatakiwa uombe tena kabla miezi 3 kabla ya tarehe ya kuexpire ,so jana ijumaa nimepewa barua ya kusitishwa mkataba unaonitaka nilipwe mishahara ya miazi mitatu ya mbele toka tarehe niliyopewa barua ya kusitishwa mkataba kama fidia ya hiki kilichotokea ,sababu zilizomfanya mwajili kusitisha mkataba ni kutokana na kushindwa gharama za uendeshaji wa hapa mahali tulipokuwa tunafanya kazi ,so naomba kuuliza sheria inasemaje kwa mazingira kama haya ,naomba wajuzi wanipe mazingira ya kisheri ,Asante
 
Wakuu habarini za muda huu,siku ya ijumaa nimepata barua ya kusimamishwa mkataba wangu kwa mwajili aliyeniajili toka 2013,kazi niliyokuwa nafanya ni ya mkataba wa miaka miwili miwili ,mwaka jana nilinew mkataba ulikuwa unaisha 2020 mwezi November ,ipo hivi ajili ni ya miaka miwili miwili mkataba ukikalibia kuisha inatakiwa uombe tena kabla miezi 3 kabla ya tarehe ya kuexpire ,so jana ijumaa nimepewa barua ya kusitishwa mkataba unaonitaka nilipwe mishahara ya miazi mitatu ya mbele toka tarehe niliyopewa barua ya kusitishwa mkataba kama fidia ya hiki kilichotokea ,sababu zilizomfanya mwajili kusitisha mkataba ni kutokana na kushindwa gharama za uendeshaji wa hapa mahali tulipokuwa tunafanya kazi ,so naomba kuuliza sheria inasemaje kwa mazingira kama haya ,naomba wajuzi wanipe mazingira ya kisheri ,Asante
barua yako ya mkataba ndio kinga yako,lazma mkubaliane wote kuvunja mkataba mlioingia awali bila kuharibu upande mmoja
 
Kutokana na maelezo yako taratibu za kuachishwa kazi kutokana na operational requirements, ( Section 38 ya ELRA) inahusika hapo , inaonekana hazikufuatwa.

Kafungue malalamiko yako tume ya usuluhishi na uamuzi ( cma) , unazo siku 30 toka kupokea barua ya kuachishwa ajira yako.
 
Kutokana na maelezo yako taratibu za kuachishwa kazi kutokana na operational requirements, ( Section 38 ya ELRA) inahusika hapo , inaonekana hazikufuatwa.

Kafungue malalamiko yako tume ya usuluhishi na uamuzi ( cma) , unazo siku 30 toka kupokea barua ya kuachishwa ajira yako.
Oky hizo operational requirements (Section 38 ya ELRA) zikoja naomba maelezo kidogo mkuu.
 
Wakuu habarini za muda huu,siku ya ijumaa nimepata barua ya kusimamishwa mkataba wangu kwa mwajili aliyeniajili toka 2013,kazi niliyokuwa nafanya ni ya mkataba wa miaka miwili miwili ,mwaka jana nilinew mkataba ulikuwa unaisha 2020 mwezi November ,ipo hivi ajili ni ya miaka miwili miwili mkataba ukikalibia kuisha inatakiwa uombe tena kabla miezi 3 kabla ya tarehe ya kuexpire ,so jana ijumaa nimepewa barua ya kusitishwa mkataba unaonitaka nilipwe mishahara ya miazi mitatu ya mbele toka tarehe niliyopewa barua ya kusitishwa mkataba kama fidia ya hiki kilichotokea ,sababu zilizomfanya mwajili kusitisha mkataba ni kutokana na kushindwa gharama za uendeshaji wa hapa mahali tulipokuwa tunafanya kazi ,so naomba kuuliza sheria inasemaje kwa mazingira kama haya ,naomba wajuzi wanipe mazingira ya kisheri ,Asante

Kwa lugha nyingine Mwajiri wako anafunga ofisi (biashara hailipi). Sio kwamba umefanya kosa lolote.

Kikubwa ni akulipe stahiki zako zote kwa mujibu wa mkataba. Maana kama anafunga biashara ni kwamba ajira alizokuwa ametengeza ndo nazo zinakufa.
 
Wakuu habarini za muda huu,siku ya ijumaa nimepata barua ya kusimamishwa mkataba wangu kwa mwajili aliyeniajili toka 2013,kazi niliyokuwa nafanya ni ya mkataba wa miaka miwili miwili ,mwaka jana nilinew mkataba ulikuwa unaisha 2020 mwezi November ,ipo hivi ajili ni ya miaka miwili miwili mkataba ukikalibia kuisha inatakiwa uombe tena kabla miezi 3 kabla ya tarehe ya kuexpire ,so jana ijumaa nimepewa barua ya kusitishwa mkataba unaonitaka nilipwe mishahara ya miazi mitatu ya mbele toka tarehe niliyopewa barua ya kusitishwa mkataba kama fidia ya hiki kilichotokea ,sababu zilizomfanya mwajili kusitisha mkataba ni kutokana na kushindwa gharama za uendeshaji wa hapa mahali tulipokuwa tunafanya kazi ,so naomba kuuliza sheria inasemaje kwa mazingira kama haya ,naomba wajuzi wanipe mazingira ya kisheri ,Asante
Mwajili anaouwezo wa kumuachisha kazi mfanyakazi kwa sababu ya biasharab au ucg=humi, kama kampuni au kiwanda kinafirisika hivyo kupelekea kupunguzwa wafanyakazi au kuwaachisha wote,,, basi sheria imetoa maelekezo kwamba, ni muhimu wafanyakazi wakashirikishwa kupitia vikao,, hapo wataelezwa hali halisi ya kampuni kiuchumi, na kwa nini ni lazima wapunguze wafanyakazi au kuwaachisha wote,, na mwisho suala la kiwango cha malipo kwa wafanyakazi ukilinganisha n matatizo ya kampuni,,,,,,, Kisha maamuzi yatatolewa na hiyo kampuni
 
Oky hizo operational requirements (Section 38 ya ELRA) zikoja naomba maelezo kidogo mkuu.
Ukidownload elra utanufaika zaidi. Pili seek a proper legal advise.
 
Soma vizuri mkataba unasemaje kuhusu kuuvunja.Mtafute wakili akuandikie demand letter kwenda kwa mwajiri,atampa notice ya wiki na mwajiri asipocomply ndo hatua zingine zitafuata.Usiende CMA wazinguaji wale.
hakuna demand note kwenyesheria no 6 anatakiwa kujaza cma f1 lakini lazima ajiridhishe kuwa utaratibu haukufwata na pia angalie kipengele cha ustishaji wa mkataba kina semaje
 
hakuna demand note kwenyesheria no 6 anatakiwa kujaza cma f1 lakini lazima ajiridhishe kuwa utaratibu haukufwata na pia angalie kipengele cha ustishaji wa mkataba kina semaje
Lazima kwanza mwajiri agome kumalizana kwanza.
 
Mwandiko wako ndio umekuponza! Sijui ulipataje hiyo kazi...
 
Nenda kwa wakili utoe na fees!

Acha kupenda mitelezo!
 
Sasa kama boss kavunja mkataba kisa gharama we unataka sheria ili akulipe nn ikiwa ka hela kaishiwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu habarini za muda huu,siku ya ijumaa nimepata barua ya kusimamishwa mkataba wangu kwa mwajili aliyeniajili toka 2013,kazi niliyokuwa nafanya ni ya mkataba wa miaka miwili miwili ,mwaka jana nilinew mkataba ulikuwa unaisha 2020 mwezi November ,ipo hivi ajili ni ya miaka miwili miwili mkataba ukikalibia kuisha inatakiwa uombe tena kabla miezi 3 kabla ya tarehe ya kuexpire ,so jana ijumaa nimepewa barua ya kusitishwa mkataba unaonitaka nilipwe mishahara ya miazi mitatu ya mbele toka tarehe niliyopewa barua ya kusitishwa mkataba kama fidia ya hiki kilichotokea ,sababu zilizomfanya mwajili kusitisha mkataba ni kutokana na kushindwa gharama za uendeshaji wa hapa mahali tulipokuwa tunafanya kazi ,so naomba kuuliza sheria inasemaje kwa mazingira kama haya ,naomba wajuzi wanipe mazingira ya kisheri ,Asante
Sijui Sheria ya Kazi kwenye kipengere cha Ajira za Mkataba inasemaje; ila kwa kutumia "common sense" nadhani una kesi nzuri dhidi ya huyo mwajiri. Mwajiri ndiyo kavunja mkataba kwa sababu zake mwenyewe kabla ya muda wa makataba wako kwisha hapo Novemba 2020; kwa mantiki hiyo, mwajiri huyo anapaswa kukulipa mshahara wako na mafao menine kama yalivyo kwenye mkataba hadi hiyo Novemba 2020. Kwa uhakika zaid, tafuta Wakili akusaidie katika hili, kwani akilipitia na kuona una haki ya kulipwa na anaweza kushinda hiyo kesi, anaweza kukusimamia kwa vile anahakika ya kupata pesa from what you will be paid. Jaribu hivyo.
 
Back
Top Bottom