Nimefukuzwa kazi, nimeanza kuvuta bangi

Nimefukuzwa kazi, nimeanza kuvuta bangi

Hiyo haiwezi kuwa ni bangi. Ukivuta bangi huwezi kuongea pumba hivyo...huwa ni mapoint tuuuu.
 
Daaa umenikumbusha kipindi napulza mmea tokea kitu cha toi la skul
 
Mi nakataa! Huyu kuna kitu anatumia, lkn sio mmea wetu, hii sio bangi, bangi haiwezi kukufanya hivi! Hata mjengoni wanajua!
 
Habari wakuu,

Huu uzi nauandika nikiwa high, so nashkuru kwa makosa yoyote ya kiuandishi nitakayopatia.

Juzi nilielezea mkasa wangu hapa wa baba mkwe kunifanyia mambo ya ajabu... Wengi walidhani ni utani...Jana nimepewa barua rasmi ya uchumba... Sina kazi tena...

Mke wangu ana miguu miwili, minne ipo mgongoni.... Maisha hayatabiriki, Nampenda sana Preta....

In short ni kuwa naomba member wenzangu mnishauri, magufuli ana lafudhi ya ajabu sana, anatumbua majipu, arusha kuna matege.

Aisee, hebu tuongee serious.... Nyie wenzangu mnaonaje?Hili ni jukwaa la pemba au unguja?

Nampenda baba mkwe, Mi nshamaliza.

Good afterparty!
Pole ht me wkt naenda kazin boss wetu wa darasa la 3 alishindw kuvuka mto sbb ya lami kuwa ya moto bibi kaunguza vitumbua bus halifiki mbagala pale opposite ubungo riverside.joto kali mjini masweta yamepanda bei yaani hawa tanesco wamepandisha bei y maji km ewura
 
Pole ht me wkt naenda kazin boss wetu wa darasa la 3 alishindw kuvuka mto sbb ya lami kuwa ya moto bibi kaunguza vitumbua bus halifiki mbagala pale opposite ubungo riverside.joto kali mjini masweta yamepanda bei yaani hawa tanesco wamepandisha bei y maji km ewura
Dah inaskitisha sana
 
Wew unge mwambia kuwa bado bikra, angekupa dau kubwa
 
Habari wakuu,

Huu uzi nauandika nikiwa high, so nashkuru kwa makosa yoyote ya kiuandishi nitakayopatia.

Juzi nilielezea mkasa wangu hapa wa baba mkwe kunifanyia mambo ya ajabu... Wengi walidhani ni utani...Jana nimepewa barua rasmi ya uchumba... Sina kazi tena...

Mke wangu ana miguu miwili, minne ipo mgongoni.... Maisha hayatabiriki, Nampenda sana Preta....

In short ni kuwa naomba member wenzangu mnishauri, magufuli ana lafudhi ya ajabu sana, anatumbua majipu, arusha kuna matege.

Aisee, hebu tuongee serious.... Nyie wenzangu mnaonaje?Hili ni jukwaa la pemba au unguja?

Nampenda baba mkwe, Mi nshamaliza.

Good afterparty!
kwa mwandiko huu ushakuwa chizi kyakyakyaaa
 
Elton John alianza hivi hivi kabla ya hisia za kukunwa kuanza kumjia.
 
YA KISIMIRI NOMA! JARIBU UTAHISI UPO OFISINI.
 
Back
Top Bottom