Yaani kahamia kama siku tatu, halafu ndani ya hizo siku mkafahamiana, mkawa na tofauti then mkazisolve. ndani ya hizo siku tatu unamfumania. Wewe ulifikiria vipi mtu ndani ya siku tatu, mgeni halafu anakukubalia faster hivyo, hukujiuliza mara mbili mbili, au ulifikiri ndo mambo ya love in first sight..haha bongo hii hii.
Ndio Maisha kabla ya NDOA......
Alikuwa mtu wangu ambaye kahamia maeneo napoishi, sio tumefahamiana siku 3, no!
Pole sana,wanawake wengine hawaridhiki.KUBAZ maana yake nini?
Okay, pole. Kwa uamuzi uliouchukua ndo sahihi ingawa kama ulimpenda kweli moyo utauma sana tu. Jikaze tu kama moyo unauma, with time utapona.
Labda nikuulize, hujawahi kumuhizi kuwa na tabia za kucheat hapo kabla?
Mpunga wako ulikuwa mdogo wewe unapanda Bodaboda jamaa kaja na Taxi angalia tofauti!!
Pole sana ...nimekosa neno hapa
Yote maisha wandugu. Wanaume tuishi na wanawake kwa akili. Kwa mwanamke ambaye mmeshawekeana ahadi kadhaa ni zaidi ya mpitanjia. Nashukuru Mungu nimeona mwenyewe
we kenge nini! Unaona kichina hapo?