Nimefungiwa account yangu ya Airtel Money, nimeenda makao makuu zaidi ya mara tatu bila mafanikio

Nimefungiwa account yangu ya Airtel Money, nimeenda makao makuu zaidi ya mara tatu bila mafanikio

Emer1

New Member
Joined
Mar 27, 2023
Posts
3
Reaction score
2
Nimefungiwa account yangu ya Airtel money toka tarehe 2 mpaka leo wanadai kuna mtu alituma pesa kimakosa ambayo ni TSH 10,000 lakini kwenye account nilikuwa na zaidi ya hiyo nikawaambia muamala wa huyo mtu wangeurejesha

Nimeenda makao makuu yao zaidi ya mara 3 lakini sipewi msaada wananizungusha tu. Huu ni mwezi unaisha nauliza tatizo nini au kuna dhulma inataka kufanyika pesa zangu za biashara mpaka leo zipo kwenye account yangu hiyo walioifungia bila sababu yoyote sijui sababu ya kufungiwa hiyo account mwezi sasa
 
Nimefungiwa account yangu ya Airtel money toka tarehe 2 mpaka leo wanadai kuna mtu alituma pesa kimakosa ambayo ni TSH 10,000 lakini kwenye account nilikuwa na zaidi ya hiyo nikawaambia muamala wa huyo mtu wangeurejesha

Nimeenda makao makuu yao zaidi ya mara 3 lakini sipewi msaada wananizungusha tu. Huu ni mwezi unaisha nauliza tatizo nini au kuna dhulma inataka kufanyika pesa zangu za biashara mpaka leo zipo kwenye account yangu hiyo walioifungia bila sababu yoyote sijui sababu ya kufungiwa hiyo account mwezi sasa
Nenda pale mlimani mawasiliano kashitaki haraka
 
Nme ingiziwa 2ml kwenye account ya airtel moneys naenda kutoa ina sema account wame I restrict nawa pigia wana dai hadi niende dukani kwao
 
Oya wazee hii mitandao na Benki sio ya kuamini sanaa, japo Options ni chache ila kiukweli kama una mzigo mkubwa Bora usambaze huku na kule, hawa jamaa wakiona mzigo mkubwa wana tamaa sanaa.
 
Wee hujaamua tukafitilia mimi iliingizwa 900,000 na nilikuwa na 2,400,000 walifungua.
 
Back
Top Bottom