chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,105
pambana ndg hapo ndipo unatakiwa kuvuka baadaye utasahau....kama unapata hata ya kuwalipa watumishi wewe umeanza vizuri mnoooo big upHabari ya mchana wakuu
Nahisi kuchanganikwa hapa, nimefungua biashara hii week ya tatu tangu tuanze, ila naona imedorora sana, pesa iliyopatikan ni ya kulipa watumishi tu,hivi hii ni kawaida kwa biashara yoyote mpya inavyoanza anza au kwangu imenigomea tu.