Hajatangaza mafanikio yeye ameomba ushauri.Umekosea masharti, mafanikio hayatangazwi
Ukitaka kuamini ulichokiandika hapo haki-aply ktk realty tafuta professor anayefundisha masuala ya biashara mpe mtaji mwambie kwa yale anayoyafundisha ayaweke ktk uhalisia then ondoka rudi baada ya six months akupe mrejesho.Sasa wewe unachekesha unafanyaje biashara usiyoijua? Hukufanya utafiti kabla ya kuanza. Yaani utafiti wako unakuja baada ya kuanza biashara. Maswali yako ni ya awali kabisa kabla hujaanza biashara.
Anyway good luck!
Kila la kheri,utatoboa tu,mambo mazuri hayataki haraka...maisha yana ups and down nimefungua duka kibanda nauza kila kinachokuja kichwani nauza kila kitu ambacho nimeulizwa na wateja wangu je ni sawa?
nifanyeje ili nipate faida? duka langu lipo njiapanda ya Himo karibu na Mizani mpya ndo naanza nimeanza kwa kukesha 24 hrs lipo wazi
naombeni ushauri na kama inawezekana mkipita hapa mniungishe ntaliita JAMII SHOP
Huku mtaani wapo darasa la tatu B wale back benches hawajui chochote kwenye masomo ya biashara na wametoboa.Apa ata ambaye hajasoma commerce anatoa ushauri😅
Apa ata ambaye hajasoma commerce anatoa ushauri😅
nlishawahi kumilik duka naelewa japo kula hakufirisi1. Ubahili ndio mpango mzima
Asubuhi chai ya 500, mchana buku, usiku buku
2. Usikopeshe kabisaa, yaani wewe na mkopo muwe maadui wakubwa.
3. Punguza mazoea kwenye biashara yako na hasa na wanawake.
Mungu akutangulie
#YNWA
kwahyo ufanye utafiti nje ya field au ndanSasa wewe unachekesha unafanyaje biashara usiyoijua? Hukufanya utafiti kabla ya kuanza. Yaani utafiti wako unakuja baada ya kuanza biashara. Maswali yako ni ya awali kabisa kabla hujaanza biashara.
Anyway good luck!
ntakutumia kesho mchana bossPicha tafafhali
Shwaaaaaaaaa😂😂😂Twenzetu huko😂😘
sasa hv camera inasumbuantakutumia kesho mchana boss
SawaHajatangaza mafanikio yeye ameomba ushauri.
Mleta mada changanya kila kitu spare za pikipiki magari ongeza na compressor ya kujaza upepo kwa maduka ya kukesha huingiza hela usiku bila kukosa misumari nyundo yaani kila kitu wewe weka kasoro bangi na cocaine tu.