Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,672
- 6,880
salam wakuu,
gari iliserereka mtaroni, ikalalia ubavu ikiwa on, kwa maelezo ya fundi ikawa imevunja jino la switch, mkono ukapinda,
akabadili piston na ring.
hadi hapo engne ikawa imesambazwa, kaifunga na gari ipo barabaran. binafsi nahic kuna matatizo yaweza jitokeza kwa uchokonozi huo,
naomba kufahanishw pia tahadhar na ushauri.
Ahsanten.
gari iliserereka mtaroni, ikalalia ubavu ikiwa on, kwa maelezo ya fundi ikawa imevunja jino la switch, mkono ukapinda,
akabadili piston na ring.
hadi hapo engne ikawa imesambazwa, kaifunga na gari ipo barabaran. binafsi nahic kuna matatizo yaweza jitokeza kwa uchokonozi huo,
naomba kufahanishw pia tahadhar na ushauri.
Ahsanten.