nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #21
shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea na ajira mpaka biashara isimame ndio utoke huko na kuja kuisimamia. Usije ukawacha ajira kwa kusimamia biashara ilokuwa bado haija simama.Mimi ni ticha wa private hapa town nimeamua kujiongeza na hiyo kitu fundi mwenyewe, ila kua ankali nipo nae,
Naomba ushauri nini kiongezeke, licha ya nilivyonayo, kuna TV nch 23, king'amuzi cha startimes, mashine zipo 6,nne za kuchaji, taa ya welcome inawaka kwa nje, kiti safi ila jumatatu naanza job za mapindi kibaruani, maoni na ushauri wako mdau wangu.
Hongera sanaMimi ni ticha wa private hapa town nimeamua kujiongeza na hiyo kitu fundi mwenyewe, ila kua ankali nipo nae,
Naomba ushauri nini kiongezeke, licha ya nilivyonayo, kuna TV nch 23, king'amuzi cha startimes, mashine zipo 6,nne za kuchaji, taa ya welcome inawaka kwa nje, kiti safi ila jumatatu naanza job za mapindi kibaruani, maoni na ushauri wako mdau wangu.
Saluni yenye mauzo ya 90,000 kwa wiki haiwezi ajiri wadada wenye figure. Bado hajatoa kodi, running cost, uchakavu.Weka king'amuzi cha Azam au DSTV, hasa cha Azam kitawavutia pia Washkaji wanaopenda kufuatilia soka la bongo huku wakisubiri kunyolewa
Weka Wadada wazuri wazuri figured wakusaidie kuosha watu vichwa na kuwachua...sio unaweka midume
Big Up Ticha
ipi iyoToa huduma pia kama aliyokuwa anaitaka yule balozi wa Zambia south Africa kwa akina mama...utapiga hela
of courseSaluni yenye mauzo ya 90,000 kwa wiki haiwezi ajiri wadada wenye figure. Bado hajatoa kodi, running cost, uchakavu.
Mazingira yanaruhusu kufanya mbinu nyingine ambazo haziumizi kwa gharama na hazileti hasara.
KivipOk....... Mpe dogo hii hapo.....
siwez acha mzizi mkuuEndelea na ajira mpaka biashara isimame ndio utoke huko na kuja kuisimamia. Usije ukawacha ajira kwa kusimamia biashara ilokuwa bado haija simama.
Weka faida ili ije ifungue saloon nyengine location nyengine, ukiwa nazo 3 hapo fikiria kusimamia biashara yako ikunufaishe.
Hiyo teevee inchi 23 unaangalia kwa jicho moja ili umeme usiishe.Mimi ni ticha wa private hapa town nimeamua kujiongeza na hiyo kitu fundi mwenyewe, ila kua ankali nipo nae,
Naomba ushauri nini kiongezeke, licha ya nilivyonayo, kuna TV nch 23, king'amuzi cha startimes, mashine zipo 6,nne za kuchaji, taa ya welcome inawaka kwa nje, kiti safi ila jumatatu naanza job za mapindi kibaruani, maoni na ushauri wako mdau wangu.
23 mkuu Philips iko freshHiyo teevee inchi 23 unaangalia kwa jicho moja ili umeme usiishe.
NB:Au umebadili namba.Badala ya 32 ukaandika 23?
Ila ndo kumenipa saloon bossHuko private unapoteza muda tu na hako ka posho ka kufundisha. Bora ujikite zaidi na saluni zako usimamie miradi yako, hiyo ndiyo akili
umefanya vema, endelea kufundisha kama wanalipa vizuri ila usiache miradi yako, ndio mtindo mpya wa kujikimu kwa waajiriwaIla ndo kumenipa saloon boss
Unamsalimia mzee...... au hata salamu ni kosa .....Kivip
Wawekee na pool table nje wachezeWeka king'amuzi cha Azam au DSTV, hasa cha Azam kitawavutia pia Washkaji wanaopenda kufuatilia soka la bongo huku wakisubiri kunyolewa
Weka Wadada wazuri wazuri figured wakusaidie kuosha watu vichwa na kuwachua...sio unaweka midume