Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MATAGA mna sonona, hata kama wanakuja kuwaibia madini unafurahia tu, pumbafView attachment 1528162
Nimefungua nimeona trending route Ni dar ,Kilimanjaro to all over the world. Nimefikiria ndugu zetu Kenya si watashikwa na tumbo la kuhara, kwakweli tumefungua dunia
tulieni watanzania dunia nzima watanielewana tuView attachment 1528162
Nimefungua nimeona trending route Ni dar ,Kilimanjaro to all over the world. Nimefikiria ndugu zetu Kenya si watashikwa na tumbo la kuhara, kwakweli tumefungua dunia
Kwann unahangaika sana kuaminisha watu utopolo wako ulikujaa kichwani?? Unajichekesha?? Inakusaidia nini au inasaidia nini Taifa? Zile zimepaki pale JNIA weka safari zake hapa. Uongo haujengi. Hao wakenya wako miles ahead na shirika la ndege. Bure kabisa wewe.View attachment 1528162
Nimefungua nimeona trending route Ni dar ,Kilimanjaro to all over the world. Nimefikiria ndugu zetu Kenya si watashikwa na tumbo la kuhara, kwakweli tumefungua dunia
Wapuuzi Kama MK254 wanasisitiza Tanzania Kuna corona,yaani hawaamini macho yaoView attachment 1528162
Nimefungua nimeona trending route Ni dar ,Kilimanjaro to all over the world. Nimefikiria ndugu zetu Kenya si watashikwa na tumbo la kuhara, kwakweli tumefungua dunia
How many bloody miles ahead?Hao wakenya wako miles ahead na shirika la ndege. Bure kabisa wewe.
Ya Kenya JeView attachment 1528162
Nimefungua nimeona trending route Ni dar ,Kilimanjaro to all over the world. Nimefikiria ndugu zetu Kenya si watashikwa na tumbo la kuhara, kwakweli tumefungua dunia
Shirika Lao geresha tu asilimia kubwa linamilikiwa na mabeberu, kiufupi Kenya iko controlled na mabeberu Hadi ardhi. Yao imeshikiliwa na Viongozi wachache na mabeberu yaani mbuzi dumeHow many bloody miles ahead?
Tunawathibitishia kuwa kwetu hakuna corona kama wanavyoutangazia ulimwengu. Kumbuka maneno waliyoyatangaza dhidi yetuhakika kunawatu wanawaza Shari tu mda wote maana wanajenga hoja chokozi ambazo huzaa mifumo chonganishi
Ifike hatua tuwaache wateseke kimpangowao sisi tuendeee kupanua wigo
vitendo vinaongea kwa sauti kubwa zaidi ya maneno
Hujui tunachobishania, hatubishani idadi ya ndege, ila tunawaonesha hila yao dhidi yetu haijakubalika. Kumbuka wametutangaza sisi tuna corona iliyovuka viwangoView attachment 1528459Mfano hii nimeingia ktk wwbsite yao then nime change location yangu badala Tz nimeweka Uganda. Kisha nikaangalia trending routew umeona kinachosomeka
Nafikiri pia hujaelewa comment yangu..mi siku zungumzia idadi ya ndege. Trend route ndio subject matter. TREND ROUTE mm nilivyoona ni wale KLM izo ndio trend route zao ktk nchi yenu yaan wao wanapokea abiria wanaotekea nchi flqn wana waleta Tz (au unasema abiria wengi wanakuja Tz via KLM wanatokea /wanatumia route izo tajwa. Klm hapqninatuletea wataliiHujui tunachobishania, hatubishani idadi ya ndege, ila tunawaonesha hila yao dhidi yetu haijakubalika. Kumbuka wametutangaza sisi tuna corona iliyovuka viwango