Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukranKaribu,ukihitaji wa kukutembeza nipo hapa,tutaanzia pm alafu ndo majukwaani
Karibu sanaa, jisikie upo nyumbaniHelo.Nimefurahi Kujiunga nanyi Wana Jamii Forums. Asante
Jiwivu limenishika..Karibu,ukihitaji wa kukutembeza nipo hapa,tutaanzia pm alafu ndo majukwaani
Tour yetu itaanzia pm kwako nakuja[emoji2088][emoji2088]Shukran
[emoji23][emoji23][emoji23]kaka wifi kwani kaenda wapi?Jiwivu limenishika..
Sema Shukran Jazeelan..Shukran
Achana na hao.. usiende pm ya huyo sahivi nalia hapa.[emoji23][emoji23][emoji23]kaka wifi kwani kaenda wapi?
Sawa kaka siendiAchana na hao.. usiende pm ya huyo sahivi nalia hapa.
Unahabari nakupenda?!Sawa kaka siendi
Ndioo my brother najuaaUnahabari nakupenda?!
Unavyoniita brother unataka kuninyima Nini..?😅Ndioo my brother najuaa
Akija naniliu hapa si ntaaibika mimi[emoji23][emoji23]Unavyoniita brother unataka kuninyima Nini..?[emoji28]
Dunia duara hii wewe huelewi Nini sasa..?Akija naniliu hapa si ntaaibika mimi[emoji23][emoji23]
Acha tu uendelee kuwa bro
Kuwa makini kwenye uwandishi wako kwenye R usiweke L usiweke R kwenye LHelo.Nimefurahi Kujiunga nanyi Wana Jamii Forums. Asante