Nimefurahi kujiunga nanyi, nikaribisheni

Nimefurahi kujiunga nanyi, nikaribisheni

Akija naniliu hapa si ntaaibika mimi[emoji23][emoji23]

Acha tu uendelee kuwa bro
Dunia duara hii wewe huelewi Nini sasa..?
Huyo nanilii hayupo! Hebu jiachie kwanza nitundike na mibusu sahivi niinjoi Mimi..😅
 
Back
Top Bottom