Nimefurahi kujiunga nanyi, nikaribisheni

Nimefurahi kujiunga nanyi, nikaribisheni

Dunia duara hii wewe huelewi Nini sasa..?
Huyo nanilii hayupo! Hebu jiachie kwanza nitundike na mibusu sahivi niinjoi Mimi..😅
🤣🤣🤣🤣🤣dah sijui nimuite
 
🤣🤣🤣🤣🤣dah sijui nimuite
Acha ushamba wewe huelewi Nini nakuambia dunia duara hii na tayari imeshaduara. 😂
Hebu achana na kuitaita.. usiwe mgumu nishakutoa hofu laazizi,kuwa huru niite majina ya kimwandani Tena ikibidi nije uifinyie kwa ndani..😉
 
Acha ushamba wewe huelewi Nini nakuambia dunia duara hii na tayari imeshaduara. 😂
Hebu achana na kuitaita.. usiwe mgumu nishakutoa hofu laazizi,kuwa huru niite majina ya kimwandani Tena ikibidi nije uifinyie kwa ndani..😉
Kenzy una matatizoo🤣🤣🤣🤣

Ikiduara tena unakimbilia kwingine😂😂akuu
 
Kenzy una matatizoo🤣🤣🤣🤣

Ikiduara tena unakimbilia kwingine😂😂akuu
Sasa nifanyaje..? Unataka nami niiduare..?
Hebu acha hizo na hayo matatizo wewe ndo wakuyatatua mpenzi.. mi nahitaji kubalio lako tu uone mnyamwezi navyofurahika nawe utambe na ujinenepee kwa huba murua.. sema nami mrembo..😉
 
Sasa nifanyaje..? Unataka nami niiduare..?
Hebu acha hizo na hayo matatizo wewe ndo wakuyatatua mpenzi.. mi nahitaji kubalio lako tu uone mnyamwezi navyofurahika nawe utambe na ujinenepee kwa huba murua.. sema nami mrembo..[emoji6]
Maneno yako tuu[emoji7][emoji7]najikuta nimezama tayari vitendo sijui itakuwaje babe[emoji5][emoji5]
 
Maneno yako tuu[emoji7][emoji7]najikuta nimezama tayari vitendo sijui itakuwaje babe[emoji5][emoji5]
Hayo ndo mambo sasa.. we usihofu hapa ndo umefika usijibanebane nataka ujiachie uione maana halisi ya maisha!.. usipojimwayamwaya kwangu utakuwa unajinyima haki yako ya kunenepa,kufurahi,kupendwa na kujaaliwa.. napenda uwe na tabasam hata ndotoni njoo tulale wote tufikishane peponi..😉
 
Hayo ndo mambo sasa.. we usihofu hapa ndo umefika usijibanebane nataka ujiachie uione maana halisi ya maisha!.. usipojimwayamwaya kwangu utakuwa unajinyima haki yako ya kunenepa,kufurahi,kupendwa na kujaaliwa.. napenda uwe na tabasam hata ndotoni njoo tulale wote tufikishane peponi..[emoji6]
Hahahaha[emoji23][emoji23]
Kunenepa nshanenepa zaidi ya hapa ntapasuka mpenzii
 
Hahahaha[emoji23][emoji23]
Kunenepa nshanenepa zaidi ya hapa ntapasuka mpenzii
Ntakunenepesha ile ndani kwa ndani..😜
Uzae toto bomba.. na vile ninayo hamu ya kushika uno lako hapa sahivi mpk mikono inashakeshake kweli hapa nimepata mubeibi..😍
 
Back
Top Bottom