Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Duh Msigwa na Boniface jirekebisheni
Nimefurahi sana aliyekuwa mbunge wa Iringa, Msigwa Peter kuangushwa chini, Alikuwa na dharau sana ukimfata Kumueleza Shida akusaidie kama Mwananchi. Aliutumia ubunge kama Kitega uchumi cha kujinufaisha yeye binafsi.
Jimbo lingine la Ubungo. Alilokuwa analitumikia Kubenea, alilitelekeza mwisho wa siku akalikimbia aliyekuwa meya Boniface Jacob na yeye ilikuwa ukimfata akusaidie kama mwananchi anakukimbia.
Kifupi Wapinzani waligeuza ubunge sehemu ya Kujinufaisha wao binafsi.
Ni wabunge wachache wa upinzani Walikuwa kwa ajiri ya Wananchi.
Heche John , huyu kazi yake ilikuwa ni kupinga tu kila kinachofanywa na serikali.
Mwisho nashukuru Msigwa kupigwa chini, akatulie sasa kwenye Car wash yake aliyowekeza, pia arudi kanisani kwa Waumini aliowatelekeza, Akajifunze sasa na Kauli nzuri.