Uchaguzi 2020 Nimefurahi Msigwa kupigwa chini

Uchaguzi 2020 Nimefurahi Msigwa kupigwa chini

Duh Msigwa na Boniface jirekebisheni
Nimefurahi sana aliyekuwa mbunge wa Iringa, Msigwa Peter kuangushwa chini, Alikuwa na dharau sana ukimfata Kumueleza Shida akusaidie kama Mwananchi. Aliutumia ubunge kama Kitega uchumi cha kujinufaisha yeye binafsi.

Jimbo lingine la Ubungo. Alilokuwa analitumikia Kubenea, alilitelekeza mwisho wa siku akalikimbia aliyekuwa meya Boniface Jacob na yeye ilikuwa ukimfata akusaidie kama mwananchi anakukimbia.

Kifupi Wapinzani waligeuza ubunge sehemu ya Kujinufaisha wao binafsi.

Ni wabunge wachache wa upinzani Walikuwa kwa ajiri ya Wananchi.

Heche John , huyu kazi yake ilikuwa ni kupinga tu kila kinachofanywa na serikali.

Mwisho nashukuru Msigwa kupigwa chini, akatulie sasa kwenye Car wash yake aliyowekeza, pia arudi kanisani kwa Waumini aliowatelekeza, Akajifunze sasa na Kauli nzuri.
 
Nimefurahi sana aliyekuwa mbunge wa Iringa, Msigwa Peter kuangushwa chini, Alikuwa na dharau sana ukimfata Kumueleza Shida akusaidie kama Mwananchi. Aliutumia ubunge kama Kitega uchumi cha kujinufaisha yeye binafsi.

Jimbo lingine la Ubungo. Alilokuwa analitumikia Kubenea, alilitelekeza mwisho wa siku akalikimbia aliyekuwa meya Boniface Jacob na yeye ilikuwa ukimfata akusaidie kama mwananchi anakukimbia.

Kifupi Wapinzani waligeuza ubunge sehemu ya Kujinufaisha wao binafsi.

Ni wabunge wachache wa upinzani Walikuwa kwa ajiri ya Wananchi.

Heche John , huyu kazi yake ilikuwa ni kupinga tu kila kinachofanywa na serikali.

Mwisho nashukuru Msigwa kupigwa chini, akatulie sasa kwenye Car wash yake aliyowekeza, pia arudi kanisani kwa Waumini aliowatelekeza, Akajifunze sasa na Kauli nzuri.
Ulikuwa unazunguka kwenye majimbo ya wapinzani kupiga vizinga
 

1Petro 2: 13-17


13Basi, jiwekeni chini ya mamlaka yote ya kibinadamu, kwa ajili ya Bwana: utii kwa mfalme aliye mtawala mkuu,
14utii kwa wakuu wa mikoa ambao wameteuliwa naye kuwaadhibu wahalifu na kuwasifu watendao mema.
15Maana Mungu anataka mweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya.
16Ishini kama watu huru; lakini msiutumie uhuru wenu kuuficha ubaya, bali ishini kama watumishi wa Mungu.
17Waheshimuni watu wote, wapendeni ndugu zenu waumini, mcheni Mungu, mheshimuni mfalme.
na, mtapata tuzo gani mkivumilia mapigo mnayostahili kwa sababu ya makosa yenu? Lakini kama mnavumilia mateso hata ingawa mmetenda mema, Mungu atawapeni baraka kwa ajili hiyo.
Hawa jamaa kama wangejua wananchi wangewagaragaza hivi wasingemaliza maneno yote kipindi cha kampeni, ila tuliwaonya humu jukwaani na kuwasihi CCM wamejipanga kweli kweli wakatubishia matokeo yake ndio haya sasa.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hawa jamaa kama wangejua wananchi wangewagaragaza hivi wasingemaliza maneno yote kipindi cha kampeni, ila tuliwaonya humu jukwaani na kuwasihi CCM wamejipanga kweli kweli wakatubishia matokeo yake ndio haya sasa.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA

Waliosema Mungu hawezi sasaivi wanasema Mungu atawalipia. Ukisikia utapeli wa kisiasa ndio huu wa wapinzani wa Tanzania
 
Waliosema Mungu hawezi sasaivi wanasema Mungu atawalipia. Ukisikia utapeli wa kisiasa ndio huu wa wapinzani wa Tanzania
Wamechanganyikiwa maskini...Penicillin injection inauma sana tuwape pole jamani.

Ushauri wangu wakubaliane na hali na wajipange vizuri..

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Wamechanganyikiwa maskini...Penicillin injection inauma sana tuwape pole jamani.

Ushauri wangu wakubaliane na hali na wajipange vizuri..

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA

Serikali yetu pamoja na vitu vingine vikubwa inavyofanya nadhani ni wakati sahihi kuangalia katiba na sheria zetu za nchi kuhusiana na demokrasia ya vyama vingi. Hii itasaidia sana kupunguza au kuondoa kabisa matumizi mabaya ya demokrasia yanayoweza kuiingiza nchi kwenye matatizo makubwa sababu ya usaliti kwa maslahi binafsi. Ifike mahala tuwe na uhuru, haki na demokrasia ya kutosha huku tukiweka maslahi ya taifa mbele

Mitaala ya elimu mashuleni pia iangaliwe kwa umakini, kuwe na masomo yanayomjenga mtoto wa kitanzania katika misingi chanya ya historia ya taifa lake, na dhana nzima ya uzalendo kwa nchi yake ili kujenga taifa imara kwa vizazi vijavyo.
 
Serikali yetu pamoja na vitu vingine vikubwa inavyofanya nadhani ni wakati sahihi kuangalia katiba na sheria zetu za nchi kuhusiana na demokrasia ya vyama vingi. Hii itasaidia sana kupunguza au kuondoa kabisa matumizi mabaya ya demokrasia yanayoweza kuiingiza nchi kwenye matatizo makubwa sababu ya usaliti kwa maslahi binafsi. Ifike mahala tuwe na uhuru, haki na demokrasia ya kutosha huku tukiweka maslahi ya taifa mbele

Mitaala ya elimu mashuleni pia iangaliwe kwa umakini, kuwe na masomo yanayomjenga mtoto wa kitanzania katika misingi chanya ya historia ya taifa lake, na dhana nzima ya uzalendo kwa nchi yake ili kujenga taifa imara kwa vizazi vijavyo.

Na vijana wamepitishwe JKT wakajifunze uzalendo kwa vitendo...hawa wanajeshi wetu na wanausalama wengine wana kazi nyingi za kufanya sasa tunapoamua kwa makusudi kuwalazimisha watusimamie hata kwenye mambo ambayo Mzalendo yoyote anaweza kuelewa wajibu wake kwa nchi ni upi na akatekeleza tunakuwa hatuwatendei haki.

Umeshindwa uchaguzi kwenye box la kura kubali nenda kajipange kwani wale wagombea 9 waliokuwepo leo wamepungukiwa nini? Tuna tatizo kama Taifa watu sio wazalendo na wanataka kufanya uhuni kwa visingizio cha democracy ambayo kwangu naiona wapinzani wanaigeuza democracy kuwa DEMOCRAZY.

OTHERWISE

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Unafurahia nini? Msigwa na wengine wengi waliopoteza nafasi zao katika Bunge kwa kulazimisha ushindi wa CCM wanaendelea na maisha vizuri tu bila stress kwa sababu wana kila nyenzo ya kuwafanya waendelee kuwa walipokua hata kama hawataingia Bungeni, Jiulize wewe pangu pakavu tia mchuzi una kipi hasa unachofaidika sana sana msigwa asipokua Bungeni? Ukikua utagundua sio raia wala mtumishi awaye yoyote wote mtaisoma namba, Hakuna sukari inayouzwa kwa ajili ya CCM kwa bei fulani wote mtanunua sawa. hivyo usijitoe ufaham ukajidanganya kwamba msigwa anaenda kuwa na hali mbaya.
 
Nimefurahi sana aliyekuwa mbunge wa Iringa, Msigwa Peter kuangushwa chini, Alikuwa na dharau sana ukimfata Kumueleza Shida akusaidie kama Mwananchi. Aliutumia ubunge kama Kitega uchumi cha kujinufaisha yeye binafsi.

Jimbo lingine la Ubungo. Alilokuwa analitumikia Kubenea, alilitelekeza mwisho wa siku akalikimbia aliyekuwa meya Boniface Jacob na yeye ilikuwa ukimfata akusaidie kama mwananchi anakukimbia.

Kifupi Wapinzani waligeuza ubunge sehemu ya Kujinufaisha wao binafsi.

Ni wabunge wachache wa upinzani Walikuwa kwa ajiri ya Wananchi.

Heche John , huyu kazi yake ilikuwa ni kupinga tu kila kinachofanywa na serikali.

Mwisho nashukuru Msigwa kupigwa chini, akatulie sasa kwenye Car wash yake aliyowekeza, pia arudi kanisani kwa Waumini aliowatelekeza, Akajifunze sasa na Kauli nzuri.
Hatuchagui viongozi ili tuwapelekee na kutatua shida zetu binafsi faragha.

Tunachagua viongozi ili wawe ni chachu ya kujenga mfumo rasmi na mzuri wa kutatua shida zetu kwa utaratibu rasmi, ili wakishindwa tuwahukumu kwa kutotimiza wajibu wao.

Kingine, wewe umejuaje kama aliyechaguliwa atakuwa msikivu na kutatua binafsi za watu yeye binafsi.

Kwa upande mwingine utathibitishaje kinyume cha tabia za Msigwa kwa wabunge wa vyama vingine??
 
Ni hatari kuwa na watu wanaofurahi wenzao wanapopatwa na mambo mabaya..omba sana Mungu wako akusaidie uondokane na hiyo roho ya kuwatakia wengine mabaya..Kikubwa ndugu yangu..tupendane..tusibaguane na daima tuombeane mema..
 
Back
Top Bottom