Nimefurahi sana kusikia mwamba Trump kasitisha misaada kwa nchi nyingine

Hadi matundu ya vyoo tunafadhiliwa na USA hadi magari ya wagonjwa tunapewa bure ila hela za kumhonga Mbowe na genge lake hizi n dharau zilizo vuka mipaka..
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Umenena ukamala ๐Ÿ™Œ
 
hayo maswali matatu mojakwamoja yameipiga Tz

haiwezekani uchukue fedha zamiradi marekani akili na democrasia nchini pako ziko urusi na china

Hela uchukue Amerika heshima upeleke urusi na china..... siriaz!
Amekwambia ni sababu zake. Ww ulivyokuwa mfinyu wa kufikili, unafikiria ndizo sababu za Dictator Trump.

Dimwit
 
Maendeleo yetu tunategemea wahisani. Halafu hela zetu tunazokusanya tunatumia kama hela zisizo na mwenyewe.
Lazima tukwame. Na kipindi hiki kama hatubadiliki, tutanyooshwa
 
Sawa sisi wananchi tusio na nyuma wala mbele ni Nyani, je na ma Rais wa Afrika nao wako kwenye kundi hili? Maana wao naona wanaishi kama Wadogo zake Mungu
 
Ukweli unauma, hata wazungu wanapotuchana ukweli tunasema hivi hivi
YAANI MPAKA TUKUBALI UKWELI HUU NDIO TUTAPATA MAENDELEO YA KWELI!!!

๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“ŒTURAMP AENDELEZE MBINYO YAMKINI,HUYU NDIO MASIHI WETU๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“ŒMUAFRIKA/ UAFRIKA NI LAANA SIKU MKIKUBALI HILI NDIO MTAANZA KUPATA MAENDELEO YA KWELI!!!
Mapovu na Makelele ya nini??

Kama wewe unawona baafrika ni banakusumbua ondoka
Dimwit
 
Maswali waliyouliza ukiyasoma jujuu ni kama mepesi vile, lakini ni maswali matatu mapana Sanaa. TZ tunaweza kujibu Yale maswali Kwa kuuza nchi tu basi. Kwanini tusaidiwe?, miaka zaidi ya hamsini Bado tunaomba kama vichaa!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ