Nimefurahi sana kusikia mwamba Trump kasitisha misaada kwa nchi nyingine

Sahihi kabisa, mbaya zaidi tunagawa rasilimali bure kwa washikaji
 
Msikilize huyuπŸ‘‡
https://www.facebook.com/
View: https://web.facebook.com/reel/1084627483349311
 
HIVI HUONI AIBU AFRICA UKITOA VILUGA VYENU MNALUGA GANI,,KISWAHILI HIZI AMBACHO HAKINA MISAMIATI AU LUGHA IPI LABDA.

TURUMP ANANIKOSHA SANA JINSI ANAVYOBANA MIBINYO KONKI😁😁😁😁

HUNA CHOO,HUNA BARABARA,HUNA UMEME WA UWAKUKA,HUNA ELIMU BORA,WATU WAKO WANASHINDIA UJI,VIJANA HAWANA AJIRA ILA WEWE UNAENDESHA V8,UMERIDHIKA KABISA NA SUTI YAKO UNAJIONA MSOMI UCHWARA WA UCHUMI NCHI INAIMPORT SANA NA HAINA KITU CHA MAANA INAEXPORT.

NA USOMI WAKO UNATEGEMEA KUISHI KWA MKOPO WA BWANA TURUMP ALAFU SAIVI UNAMTUKA TURUMP DIKITETA🀣🀣🀣🀣
 
We jamaa unatutukana sana. Hata kama ni ukweli basi punguza
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Misaada ya marekani, trump kabanwa kaachia misaada inayohusu afya itaendelea kama kawaida mkuu
 
"Tuliwatenga na kuwaengua watu weusi kwenye mipango ya maendeleo ya nchi yetu ya South Africa kwa sababu wangeharibu mipango yatu mizuri"Botha

"Popote umwonapo mtu mweusi ujue Kuna tatizo maana mtu mweusi mwenyewe ni tatizo"Botha
 
Uenda ujio wa Trump ukaleta msukumo kwa mataifa yote tajiri kuacha kutukopesha na kutupatia maendeleo tuone kama hatusongi mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…