Mkuu hili fukuto la Bashiru na PolePole limefikia wapi?..... Nasikia ni Balaaa. Hata salamu hamna!...... Kila moja anajionabora kwa Mkulu. Jana Zanzibar wamejaribu kusuluhishwa na Iddi Seif ila naona hali bado tete.... Pesa za kampeni hazijawahi mwacha mtu salama..... waliblock wengine kuwepo kwenye team. kumbe wanapiga pesa kwa kuviziana.
Kwani huyu atakuwa anaweza kumfikia Mama jesca kweli?Nimemsikiliza mke wa Lisu kila anapopewa nafasi kwenye mikutano ya kampeni yuko vizuri mno kwenye kunadi Sera.
Kwanza katulia hasa.HIGHLY COMPOSED.Hana jazba na ana pointi..
Kilicho mjaa moyoni ndicho kimtokacho mtu mdomoni. Anawaza uzinzi sana jamaa yetu.Maneno ya jpm ya ngono ngono yanamtia aibu sana mama Janet kwa kweli anaweza kujihis yupo uchi mbele ya kadamnasi
Huyu ni mama mwenye mahangaiko moyoni, uso usio na furaha. Ni matokeo ya ugumu wa kukubaliana na mtu mwenye kichwa kinachochemka bila sababu.Nimemsikiliza mke wa Lisu kila anapopewa nafasi kwenye mikutano ya kampeni yuko vizuri mno kwenye kunadi Sera.
Kwanza katulia hasa.HIGHLY COMPOSED.Hana jazba na ana pointi
Huyu ndie CHADEMA wangemchagua ugombea uraisi .Ni vizuri wampe kazi ya kuongoza kampeni kwenye kuhutubia yeye ndie awe mhutubiaji mkuu
Msikilize mwenyewe hapa akimwaga pointi mimi kama CCM nampongeza mno
Kwahiyo yeye hajawahi ku apply hata kwa mkewe? Maana naona kama mama anaridhishwa na mwenendo wa mmewe,ilatoto wa wenzie ndio wafanye?Kuwalidhisha watu wa nje wanaomsapoti - 'na kufanya hivyo ndo ukibaraka wenyewe'
Yaani mume yuko jukwaani anatafutiwa vibinti na Kuwadi Kibajaji, yeye amejikunyata kwenye kiti?Maneno ya jpm ya ngono ngono yanamtia aibu sana mama Janet kwa kweli anaweza kujihis yupo uchi mbele ya kadamnasi
Anamzidi Janet?Nimemsikiliza mke wa Lisu kila anapopewa nafasi kwenye mikutano ya kampeni yuko vizuri mno kwenye kunadi Sera.
Kwanza katulia hasa.HIGHLY COMPOSED.Hana jazba na ana pointi
Huyu ndie CHADEMA wangemchagua ugombea uraisi .Ni vizuri wampe kazi ya kuongoza kampeni kwenye kuhutubia yeye ndie awe mhutubiaji mkuu
Msikilize mwenyewe hapa akimwaga pointi mimi kama CCM nampongeza mno