Nimefurahi sana Steven Masatu Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara

Nimefurahi sana Steven Masatu Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.

Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara

Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.

Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
 
Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi flan wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.

Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara

Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.

Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
N mbabe huyooo ooooh!
 
SMW kwa nini?.
Makamu lazima awe muislamu kataa usikatae.
Kama wataka kubeti weka mzigo
 
Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi flan wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.

Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara

Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.

Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
 

Attachments

  • VID-20250118-WA0021.mp4
    4.4 MB
Hawa wanasiasa vijana wanaobwabwaja,hakuna hata mmoja anaweza battle na wasira kihoja
Huyu huyu Wasira mrusha ngumi hadi wakamwita "Tyson"?

Unajua alitoa ahadi ya kuimaliza CHADEMA kabla ya 2020 lakini mpaka Leo CHADEMA Bado ipo moto.
 
Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.

Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara

Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.

Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
Ww utakuwa ni mzee lazima.
 
Back
Top Bottom