Nimefurahi sana Steven Masatu Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara

Nimefurahi sana Steven Masatu Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara

Huyu huyu Wasira mrusha ngumi hadi wakamwita "Tyson"?

Unajua alitoa ahadi ya kuimaliza CHADEMA kabla ya 2020 lakini mpaka Leo CHADEMA Bado ipo moto.
Mkuu, ahadi ya Wassira ilikuwa CHADEMA ku - RIP kufikia 2013. Mtu wa kale yule.

Ya by 2020 ni JPM. Sasa hawasemi tena. Wanamwaga sumu kimya kimya.

Nahisi Wassira kaingizwa uwanjani kuharakisha kazi ya kuinyonga CHADEMA.
 
Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.

Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara

Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.

Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
NI STRATEGIC APPOINTMENT, kanda ya ziwa ina mtaji wenye afya wa kura za CCM!!
 
Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.

Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara

Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.

Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
Moja wazee wasiopenda kustaafu tangu enzi za Mwalim yupo, wazee wengine Bwana
 
Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.

Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara

Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.

Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
Kwenye uchaguzi Sura ya mtu ni ya muhimu sana. Chaguzi za Tanzania wenye sura mbaya wanashinda kwa kuiba kura. Huyu atafanya CCM wakose kura nyingi sana. Asante CCM.
 
Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.

Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara

Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.

Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
CCM kina vilaza mpaka basi. Huyu mwandishi haya maneno hata angechaguliwa makamba angeyaandika hivi, angechaguliwa Mrisho Gambo au Makonda angeandika hivi hivi. Huwa watu wa namna yako wanasikilizia tu njaa basi.
 
Back
Top Bottom