Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kupiga porojo za historia sio hoja boss.Humuwezi kwa hoja huyo, chadema ina moto gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga porojo za historia sio hoja boss.Humuwezi kwa hoja huyo, chadema ina moto gani?
Mkuu, ahadi ya Wassira ilikuwa CHADEMA ku - RIP kufikia 2013. Mtu wa kale yule.Huyu huyu Wasira mrusha ngumi hadi wakamwita "Tyson"?
Unajua alitoa ahadi ya kuimaliza CHADEMA kabla ya 2020 lakini mpaka Leo CHADEMA Bado ipo moto.
Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira ...
NI STRATEGIC APPOINTMENT, kanda ya ziwa ina mtaji wenye afya wa kura za CCM!!Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.
Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.
Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
Moja wazee wasiopenda kustaafu tangu enzi za Mwalim yupo, wazee wengine BwanaHuyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.
Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.
Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
Sasa Wasira ndo ataweza ?NI STRATEGIC APPOINTMENT, kanda ya ziwa ina mtaji wenye afya wa kura za CCM!!
Kwenye uchaguzi Sura ya mtu ni ya muhimu sana. Chaguzi za Tanzania wenye sura mbaya wanashinda kwa kuiba kura. Huyu atafanya CCM wakose kura nyingi sana. Asante CCM.Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.
Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.
Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
yeye hata akiwa ICU kura kanda ya ziwa 90% ni za CCMSasa Wasira ndo ataweza ?
CCM kina vilaza mpaka basi. Huyu mwandishi haya maneno hata angechaguliwa makamba angeyaandika hivi, angechaguliwa Mrisho Gambo au Makonda angeandika hivi hivi. Huwa watu wa namna yako wanasikilizia tu njaa basi.Huyu mwanaume pamoja na umri wake ana madini kuliko mtu yeyoye unayemjua wewe hapa Tanzania, kwanza ni msomi wa hali ya juu, pili anajua historia ya nchi hii, tatu hakuna hoja unayoweza kuiweka mezani akashindwa kuijengea hoja, mwanaume huyu anazungumza kwa hoja inayoeleweka, nakumbuka kuna kipindi fulani wakati wa utawala wa JK kulikuwa na ziara ya Rais Obama hapa nchini, ni Wassira ndiye aliyepewa kazi ya kuongoza jahazi, maridhiano yoyote ya kisiasa unayoyajua wewe Wassira lazima akae pembeni.
Soma pia: LIVE - Wasira kupigiwa kura kumrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
Ewe mungu wewe naomba kama kuchukua roho uichukue roho yangu mie kabla ya Steven Wassira maana kila ninapomuona kwenye majukwaa ama vyombo vya habari lazima nikae kumsikiliza mwalimu huyu wangu wa siasa.
Mungu akuwe wepesi mzee Wassira, akupe nguvu na ujasiri wa kumsaidia mama katika chama.Dah am very happy today.
Mkuu kumbe hujui iyo kanda,yeye hata akiwa ICU kura kanda ya ziwa 90% ni za CCM
.. ni personal opinion ya uchambuzi wake, siyo kilaza, ni JF motto...CCM kina vilaza mpaka basi. Huyu mwandishi haya maneno hata angechaguliwa makamba angeyaandika hivi, angechaguliwa Mrisho Gambo au Makonda angeandika hivi hivi. Huwa watu wa namna yako wanasikilizia tu njaa basi.
Kweli ilikuwa kabla ya uchaguzi wa 2015 kwenye uchaguzi wa CCM 2012.Mkuu, ahadi ya Wassira ilikuwa CHADEMA ku - RIP kufikia 2013. Mtu wa kale yule.
..sisi tunajijua, utaona vote count next General ElectionMkuu kumbe hujui iyo kanda,