Nimefurahia maamuzi kesi ya Mbowe, Mungu mkubwa atatenda

Jaji amezawadiwa cheo baada ya kuvurunda kesi , ni maajabu ya Dunia Only Tanzania yanatokea. Haya
 
Povu jiiingi for nothing. Sasa si ukawaue hao watesi wako ili usiendelee kupata depression mbona unalalamika tu humu. Usipende kutukana bila sababu kwani kutukana ni dalili ya ujinga na kutojiamini.
 
Mbowe naye alimnyanyapaa Zito, akamnyanyapaa Dr. Slaa na yeye Mbowe leo yupo wapi?
 
Off point
Shusha pressure kijana utazeeka kabla ya wakati wako. Mahakama huwa haipangiwi cha kufanya inafanya kulingana na sheria. Huyo mbowe si Mungu kwamba hawezi kukengeuka na kufanya mambo maovu. Acheni mahakama ifanye kazi yake vinginevyo mtateseka sana na mwishowe mtaambulia vidonda vya tumbo.
 
Povu jiiingi for nothing. Sasa si ukawaue hao watesi wako ili usiendelee kupata depression mbona unalalamika tu humu. Usipende kutukana bila sababu kwani kutukana ni dalili ya ujinga na kutojiamini.
Kama unaujinga usiambiwe ukiambiwa umetukanwa?
kulipa kisasa ni haki na usipotaka kulipa ukamwachia Mungu akulipie au vinginevyo nihaki pia!!
Kulazimisha kuwa kulipiza kisasi ni dhambi ni ujinga na upuuzi mloambiwa na wazungu wenu ili mnyonywe vizuri. Grow up kimwili na kiakili bwamdogo
 
Sabaya amehukumiwa kwa ukatili alioufanya na ushahidi wa dhahiri upo, Mbowe anakomolewa maana haisujudii serekali. Hakuna anayesema mahakama ni huru. Usidhani hatujui tofauti ya hizi kesi mbili na uhuru wa mahakama.
Sa
wa Sabaya haki imetendeka na mahakama ni huru. Kwa Mbowe haki haijatendeka na mahakama siyo huru. What a double standard!

Wakiguswa wengine mnanyamaza, akiguswa gaidi mnataka sote tumpiganie eti wakimalizana nao watakuja na kwetu!
 
Kwakua Sabaya kafungwa, hata huyu ni lazima atafungwa tu. Mngeonekana wa maana kama msingesema kuwa mahakama inafanya kazi yake vizuri baada ya Sabaya kufungwa ila kwasasa mnaonekana wanafiki, inawezekanaje mahakama hizohizo nzuri (kama mlivyodai) leo zionekane mbaya kwakua zimemshikilia mbowe?
 
Kwahiyo kwakuwa sabaya kafungwa ni lazima na mbowe afungwe hata kama hana hatia?
Ndo msubirie sasa ili tuone kama ana hatia au hana.

Hivi inakuwaje mseme mahakama haifanyi kazi yake vizuri, akati juzi tu hapa mmetoka kuisifia kuwa iko njema baada ya kumfunga Sabaya?

Sheria ni msumeno.
 
Tulizana wembe una makali sehemu mbili, hata wewe kuna sehemu utaumizwa kufidia uwazayo moyoni mwako ya kishetani
Si.lazima yawe ya serikari hata yako katika maisha yako tu.
Ukihisi una makosa hapa duniani basu ujue wewe sio binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…