Nimefurahia maamuzi kesi ya Mbowe, Mungu mkubwa atatenda

Tulizana wembe una makali sehemu mbili, hata wewe kuna sehemu utaumizwa kufidia uwazayo moyoni mwako ya kishetani
Si.lazima yawe ya serikari hata yako katika maisha yako tu.
Ukihisi huna makosa hapa duniani basu ujue wewe sio binadamu
 
Mbowe aliajiri makomandoo waliofukuzwa na JWTZ kwa masuala ya nidhamu ili walipue vituo vya mafuta

Anastahili kunyongwa
Walivilupua hivyo vituo vya mafuta ?!. WaTz tuna hamu na ugaidi siyo ?!

Labda mahakama ya kuelekezwa ndiyo ihukumu kesi ya kufikirika hiyo. Siyo majaji waliosoma labda macombi
 
Walivilupua hivyo vituo vya mafuta ?!. WaTz tuna hamu na ugaidi siyo ?!

Labda mahakama ya kuelekezwa ndiyo ihukumu kesi ya kufikirika hiyo. Siyo majaji waliosoma labda macombi
Kwani katika uamzi wa pingamizi juzi Jaji Siyani aliamua nin? Mbowwe ni gaidi
 
Kweli kabisa. Anayelia leo hucheka kesho, na kinyume chake.
 
Mbowe anakula miaka kimasihara hivi ukishangilia ya sabaya shangilia na ya mbowe

USSR
Mbowe atajiunga na mashujaa wengine Kama Nelson Mandela,Jomo Kenyatta,Haikande na wengine wengi. Ukombozi una gharama. MBOWE SIYO GAIDI.
 
Wewe ussr ni mpuuzi sana, unawezaje kumlinganisha Mbowe na huyo jambazi Sabaya??????
 
Kwa Sabaya haki imetendeka na mahakama ni huru. Kwa Mbowe haki haijatendeka na mahakama siyo huru. What a double standard!

Wakiguswa wengine mnanyamaza, akiguswa gaidi mnataka sote tumpiganie eti wakimalizana nao watakuja na kwetu!
Kesi ya mbowe na kesi ya Sabaya havifanani, kesi ya Sabaya ipo wazi kila mmoja ni shahid wa maovu yake, lakini kesi ya mbowe ni kesi ya kubambikiwa mashahidi wa kutengeneza na jaji kapewa Rushwa ya cheo cha jaji kiongozi ili akatae ushahidi wa ukiukaji PGO na mateso kupigwa walikofanyiwa walinzi wa mbowe, endelea kuwahonga vyeo majaji wajitoe fahamu kupindisha Sheria lakini watambue mungu yupo na Albadiri haitawaacha salama
 
Sheria ipi ichukue mkondo wake? Kwa kosa lipi ugaidi hewa wa kuwabambikia watu? PGO inaruhusu kuwatesa kuwapiga watu kuwafunga pingu saa 24 kila siku? Hakimu yupi anajua Sheria? Kuhongwa cheo cha ujaji kiongozi kisha kupindisha Sheria ndiyo kujua Sheria?
 
Subirini mahakama itende haki kama ilivyotenda kwa Sabaya.
Sabaya ni jambazi ni mbakaji kweli na kila Mtanzania ni shahid wa maovu yake ni tofauti na kesi ya mbowe ambayo ni kesi ya kubambikiwa huku PGO ikiwa imekiukwa kwa kiwango chakutisha
 
Kwa
Kwani anashindwa kuifuta? Mbona ya Ruge ameifut??? Mbowe amekamatwa mwaka Huu mwez wa nane ilikuwa awamu ya nani
 
Kwa

Kwani anashindwa kuifuta? Mbona ya Ruge ameifut??? Mbowe amekamatwa mwaka Huu mwez wa nane ilikuwa awamu ya nani
Hafuti yeye kesi, kesi zinafutwa na DPP na timu yake baada ya kuzichambua! And kumbuka kuna makesi mengi tu ya hovyohovyo wanayapitia kwa sasa, na zote zina umuhimu wake na wahusika wake wana haki pia ya kuwa free, itapofika zamu ya kesi ya Mbowe itachambuliwa pia kama waifute or not! Ulitaka warukie kesi ya Mbowe ya juzi tu hapa wakati kuna watu wamesota rumande miaka 5 sasa na ushahidi hakuna? And kesi ilishafunguliwa August 2020, lilikuwa ni suala la muda tu akamatwe! So utawala wa Samia usikamate mtu yeyote wa upinzani hata kama ameshtakiwa mahakamani? Kama ni hivyo basi majambazi yote yakimbilie upinzani, maana ukikamatwa ukiwa huko utatetewa na kila mtu
 
Haki inapoporwa, inaonekana wazi sawasawa na doa jeusi kwenye karatasi nyeupe.Wooote wanaojua vifungu vya sheria wameliona hili.Wewe usiyejua sheria huwezi kuona.Ila kama ulikuwa ukienda kusikiliza kesi ilivyokuwa inaendeshwa ungejua.Hivi kweli alisema Wenzake waliotuhumiwa na Mbowe walishahukumiwa yeye Mbowe eti akatoroka.Hii unaionaje,imekaaje,
walipoletwa mahakamani kutoa ushahidi walishahukumiwa kifungo sio.Kwa hiyo walipokamatwa huko Moshi walitoroka magereza ndio wakaja kutafutwa wakakamatwa.Halafu kesi waliyokamatwa nayo ikaanza kusikilizwa kwa upya.

Ogopeni basi hata hiyo miungu yenu mnayoiabudu. Nchi yetu naihurumia sana,kwa sababu inateseka kwa kutendewa vitu vya ajabu,ndiyo maana imeshindwa kutoa mazao ili watu wake waneemeke kwa sababu ya udhalimu na uongo wa wanaoiongoza.Mtu mzima anasema uongo mwanzo mwisho hadharani bila aibu.

Kama sio kweli kumbukeni yule mwingine alisema uongo mpaka leo yupo wala hajatubu kwa aliyoyasema Eti kiongozi wenu ana afya njema anaendelea na kazi zake.Kumbe mtu anapumulia gesi. Tena mwingine alisema nimekwenda kumwona jana,ni mzima wa afya. Sawa endeleeni kudanganya,lazima lazima ipo siku mtaumbuka kama mlivyoumbuka.

Mimi naamini,Huyu aliyetuweka hai mpaka leo,hata hili atalimaliza salama.Haki huinua taifa.Bali dhambi ni aibu kwa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…