Nimefurahishwa na Kitendo cha Ntobi kuvuliwa Uongozi, lakini hayuko Peke yake, kama Sheria ni msumeno basi kuna Wanaofuatia

Nimefurahishwa na Kitendo cha Ntobi kuvuliwa Uongozi, lakini hayuko Peke yake, kama Sheria ni msumeno basi kuna Wanaofuatia

Utoto mnao nyie maccm mnaohangaika na mambo ya Chadema. Pilipili usiyoila yakuwashiani?
Hahaha Team Lisu, lazima mtafute pa kwenda, chadema haitaki wahuni kama nyie.

Kutwa kucha makelele kama wendawazimu.

Hamjulikani mmetokea wapi, chama kilikuwa kizuri, chenye heshima, mmekuja na mihemko, kelele, ujuaji, na misifa hewa.

Muondoke tujenge chama upya, kila la kheri muendako.
 
Back
Top Bottom