Unawakosea wengi 🤣🤣View attachment 3196766
Nakucheki tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawakosea wengi 🤣🤣View attachment 3196766
Nakucheki tu.
Jifunze kwanza kiswahiliMbowe anaanza kulia lia mala nilimlipia nauli, mala nilimpa gari,
Hizi ni sera au ni upumbavu?
Hahaha Team Lisu, lazima mtafute pa kwenda, chadema haitaki wahuni kama nyie.Utoto mnao nyie maccm mnaohangaika na mambo ya Chadema. Pilipili usiyoila yakuwashiani?
Nakuhakikishia, lisu akishinda wale wote ambao hawakumuunga mkono, out!Hapana yale makaburi mliyoyachimba hazikwi mtu chungeni tu msije mkatumbukia mkiwa mumelewa.
Lissu ni IQ kubwa watu aina ya Lissu sio watu visasi na mambo ya ovyo ovyo.Nakuhakikishia, lisu akishinda wale wote ambao hawakumuunga mkono, out!
Kweli kipofu akipenda chongo huita kengeza!Lissu ni IQ kubwa watu aina ya Lissu sio watu visasi na mambo ya ovyo ovyo.
Ngoja ashinde Uenyekiti sio mbali halafu nije nikuambie I told you so Jemadari Lissu sio mtu wa kuendekeza mambo ya visasi visasi na mambo ya ovyo ovyo..Kweli kipofu akipenda chongo huita kengeza!
Bukta apakwe mafutaNtobo kavuliwa Uenyekiti Sasa Yeriko utamvua nini? 😂😂